Lusajo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 456
- 30
Naomba kuuliza hili swali? Ni nini chanzo cha U-Terrorist?
Kwa sababu sidhani mtu mwenye akili zake anaweza akaamua kuwa tayari kufa kwa ajili tu hampendi mtu fulani na huyo mtu hajamfanyia kitu chochote. Au mtu anayeweza kuuliza vizuri anaweza kuuliza na yule mwenye majibu mazuri anaweza kuyaweka. Kama kumewahi tokea U-terrorist mahali pengine unaweza ukaweka na kutoa sababu ya kwa nini ilikuwa hivyo?
- Kwa nini mambo hayo yanatokea?
- Kwa nini watu wa West na wanaosapoti mambo ya West ndio Target?
- Kwa nini inahusishwa na Uislam na wakati waislam wengi tunaishi nao kwa Amani?
- Kwa nini Mandela alikuwa kwenye Terror watch List?
Kwa sababu sidhani mtu mwenye akili zake anaweza akaamua kuwa tayari kufa kwa ajili tu hampendi mtu fulani na huyo mtu hajamfanyia kitu chochote. Au mtu anayeweza kuuliza vizuri anaweza kuuliza na yule mwenye majibu mazuri anaweza kuyaweka. Kama kumewahi tokea U-terrorist mahali pengine unaweza ukaweka na kutoa sababu ya kwa nini ilikuwa hivyo?