Shadiel JF-Expert Member Jul 30, 2015 304 165 Jun 14, 2017 #41 Acha ukilaza,,,Anyway,Weka imani kwa Mungu ayabadili majaribu yako kuwa fursa
Ibnu Nindi JF-Expert Member Dec 2, 2011 388 71 Jun 14, 2017 #42 Bangi sio nzuri kwani we ni nani kama wazaz wako hawana mtoto
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,987 69,380 Jun 14, 2017 #43 Aliyemuelewa mtoa mada anieleweshe
Maxmizer JF-Expert Member Aug 14, 2016 4,806 4,215 Jun 14, 2017 #44 rekebisha kidogo toa WAZAZI then weka UKOO wenye matatizo hayo hupelekea na vizaz vyao kuwa hivyo angalau utakua umeeleweka
rekebisha kidogo toa WAZAZI then weka UKOO wenye matatizo hayo hupelekea na vizaz vyao kuwa hivyo angalau utakua umeeleweka
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,056 141,868 Jun 14, 2017 #45 mahondaw said: Hawakupata mtoto wewe walikuokota?? Cc Smart911 Click to expand... Alishushwa kama... na atapata zali kama.... alivyopaa...
mahondaw said: Hawakupata mtoto wewe walikuokota?? Cc Smart911 Click to expand... Alishushwa kama... na atapata zali kama.... alivyopaa...
Sakayo JF-Expert Member Sep 10, 2015 56,375 161,378 Jun 14, 2017 #47 Nahisi hilo ni fumbo, na jibu lake huwezi kuwa na wazazi kama hujazaliwa