Safi hawa ndio watu wakufikiri nadhani umewaza sana .hili ndio jibu. Nadhani hata hapa hmtanielewaYour Topic is very controversial Sir
Naona umepata wivu sana kuwatagi hawa warembo Heaven Sent na Nifah ok any way ngoja nika update nikutag na wewe. Inatakiwa ujibu sio kukimbilia kutoa shutuma waza kaa fikiria inakuwaje hili jamboWatu wengine hamjuagi mnaandika nn halaf mnakimbilia kutag watu
Usipoweza kuwaza kupata jibu basi hata maisha yatakushindaWatu wengine hamjuagi mnaandika nn halaf mnakimbilia kutag watu
Asante kwakuwaeleza ukweli maana wanalalamika badala ya kuwaza ,challenge ndio jambo lakupambana nalo hao wanao lalamika nimeandika upuuzi ni sawa na wale wanao itikia ndio kila kitu ndio bungeni kule awataki kujadili na kufikiriLabda alimaaniaha walezi wa mtoto fulani
Adopted child sio kuwa anakaa na wazazi bali walezi.
Some questions are too challenging
HahahahahahahaAcha bangi punda ww
Umechemka nenda kajipange upyaNaona umepata wivu sana kuwatagi hawa warembo Heaven Sent na Nifah ok any way ngoja nika update nikutag na wewe. Inatakiwa ujibu sio kukimbilia kutoa shutuma waza kaa fikiria inakuwaje hili jambo
Nimejiuliza hivyo hivyo. Hii ni chit chat labdaKama vile cjaelewa elewa "kama wazaz hawajawai kupata mototo basi mm ctopata mtoto "
Sasa huyo mm ambaye ni mtoto wa wazaz wangu nimepatkanaje
Siyo siku ya wajinga leoHabarini,natumaini ni wazima.
Ngoja niende kwenye pointi
Ni hvi
Inasemekana kama wazazi wako hawakuwahi kuwa na mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana na ww kukosa mtoto.
Cc Heaven Sent Nifah
Hili bandiko limekaa ki comed zaidHabarini,natumaini ni wazima.
Ngoja niende kwenye pointi
Ni hvi
Inasemekana kama wazazi wako hawakuwahi kuwa na mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana na ww kukosa mtoto.
Cc Heaven Sent Nifah