Ni nani waziri mkuu ajaye?

Ni nani waziri mkuu ajaye?

Baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutangaza leo kutokugombea tena nafasi ya ubunge bila shaka sasa lazima baada ya uchaguzi mkuu kutapatikana waziri mkuu mpya

Kwaio guys njoon hapa tutabiri nani atakua wazir mkuu anaefata
Doto biteko
 
Reforms ni LAZIMA ili kwa mara ya kwanza tupate viongozi wanaotokana na wanachi.
 
Baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutangaza leo kutokugombea tena nafasi ya ubunge bila shaka sasa lazima baada ya uchaguzi mkuu kutapatikana waziri mkuu mpya

Kwaio guys njoon hapa tutabiri nani atakua wazir mkuu anaefata
TUwe na waziri mkuu mwanamke awamu ijayo. Naye ni Tulia Ackson
 
Back
Top Bottom