The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutangaza leo kutokugombea tena nafasi ya ubunge bila shaka sasa lazima baada ya uchaguzi mkuu kutapatikana waziri mkuu mpya
Kwaio guys njoon hapa tutabiri nani atakua wazir mkuu anaefata
Kwaio guys njoon hapa tutabiri nani atakua wazir mkuu anaefata