Wanajamvi,
Kwa wale wanaokumbuka vizuri miaka ya sabini na themanini kulikuwa na huu wimbo, Mabepari walia, mabepari walia wakatiwa mirija. Walipotangaziwa, walipotangaziwa azimio la Arusha.
Wengi walisikitika, wengi walisikitika wakarukwa na akili ....................."
Naomba kuuliza ni nani mtunzi wa huu wimbo na yuko wapi kwa sasa?
Je, bado anashangilia kuona mabepari wakilia?
Je, ipo siku utaimbika tena hadharani?
Je, Kuna tofauti gani katu ya ubepari na uwekezaji?
Kwa wale wanaokumbuka vizuri miaka ya sabini na themanini kulikuwa na huu wimbo, Mabepari walia, mabepari walia wakatiwa mirija. Walipotangaziwa, walipotangaziwa azimio la Arusha.
Wengi walisikitika, wengi walisikitika wakarukwa na akili ....................."
Naomba kuuliza ni nani mtunzi wa huu wimbo na yuko wapi kwa sasa?
Je, bado anashangilia kuona mabepari wakilia?
Je, ipo siku utaimbika tena hadharani?
Je, Kuna tofauti gani katu ya ubepari na uwekezaji?