Ni nani mnufaika wa Grand Ethiopian Renaissance halts?

Gharama za uzalishaji wa UMEME kwa kila KWhr kutoka katika vyanzo mbalimbali vya UMEME, hizi ni wastani duniani kote, hazitofautiana Sana.
1)Diesel generator $0.2
2)Geothermal $0.05
3)Wind/Solar $0.04
4)Hydroelectric $0.0016
Geothermal source, is four times expensive than hydro electricity. Hakuna sababu zozote zile za kiuchumi kwa Kenya kuacha kununua UMEME wa maji toka Tanzania na Ethiopia, mkuendelea kutumia umeme wa Geothermal, bidhaa zenu zitaendelea kuwa ghali sana. Manufacturers wengi watafunga viwanda vyao na kuhamishia Tanzania au Ethiopia.
Unataka Ku compare global average na average ya Sub Sahara !
Tz tayari iko na hydro plant nyingi...

Average cost per kwh ni $0.14, Uganda ni $0.10 na Kenya ni $0.15 ....
SA ni $0.09 na Egypt ni $0.06


Kulingana na logic uliotumia hapa EAC Uganda ingekua na viwanda vingi kushinda Kenya na Tz... Lakini kuna factor zengine kama business laws and investor protection, customer base who can afford to buy products, availability of skilled labour... etc... i.e Kampuni ya kutengeneza magari haitajipeleka Rwanda kwasababu umeme huko ni $0.04/kwh wakati Kenya ndo mnunuzi mkubwa wa hayo magari...



Alafu unasahau factor nyengine muhimu kama vile hua mnashangaa kwanini Kenya ina insist kujenga bomba lake kwelekea lamu badala ya kuunganisua na Uganda Hadi Tanga....
Kenya itaendeleza kuzalisha Geothermal ambayo iko na potential ya 10,000mw hata kama ni more expensive than hydro ya Ethiopia au Tz kwasababu geo iko hapa nchini, wataalam na wafanyikazi wa hicho kiwanda watakua hapa nchini , pesa zitakazolipwa zitabaki ndani ya nchi tena tutalipia umeme in Kenya shillings badala ya kulipia in dollars tukinunua kitoka nje,

The only time tunapanga kununua umeme kutoka nje ni kama demand ime exe d supply etc Hatuna mpango wa kutegemea umeme wa kutoka nje kama main supply ... Kwahivyo kama mnagenga dam zenu mkitegemea majirani watanunua umeme bula mkataba wowote ...you are in for a rude shock.... Na hata mki sign mkataba bado si guaranteed... Kwa mfano Kenya na Tz walisign mkataba wa kununua 400MW each kutoka Kwa Ethiopia dam ambayo itaproduce 6000MW...
Sasa Tz inajenga dam yake kwahivyo haitanunua hii 400MW kutoka Ethiopia... Kenya nayo inapanga kujenga 700MW High grand falls dam by 2025... British firm gets nod to build mega dam in Kenya Kenya na Tz ndo walikua wawe biggest foreign customers wa Ethiopian dam, sasa Ethiopia tayari imeshapoteza Tz, kumaanisha wako na extra 400MW... Hata kama Kenya itanunua umeme kutoka nje, Ethiopia has more than enough, why would we want another transmission line conning all the way from sealous game reserve up to Nairobi, given that we are already oversupplied locally...
 
Unataka Ku compare global average na average ya Sub Sahara !
Tz tayari iko na hydro plant nyingi...

Average cost per kwh ni $0.14, Uganda ni $0.10 na Kenya ni $0.15 ....
SA ni $0.09 na Egypt ni $0.06


Kulingana na logic uliotumia hapa EAC Uganda ingekua na viwanda vingi kushinda Kenya na Tz... Lakini kuna factor zengine kama business laws and investor protection, customer base who can afford to buy products, availability of skilled labour... etc... i.e Kampuni ya kutengeneza magari haitajipeleka Rwanda kwasababu umeme huko ni $0.04/kwh wakati Kenya ndo mnunuzi mkubwa wa hayo magari...



Alafu unasahau factor nyengine muhimu kama vile hua mnashangaa kwanini Kenya ina insist kujenga bomba lake kwelekea lamu badala ya kuunganisua na Uganda Hadi Tanga....
Kenya itaendeleza kuzalisha Geothermal ambayo iko na potential ya 10,000mw hata kama ni more expensive than hydro ya Ethiopia au Tz kwasababu geo iko hapa nchini, wataalam na wafanyikazi wa hicho kiwanda watakua hapa nchini , pesa zitakazolipwa zitabaki ndani ya nchi tena tutalipia umeme in Kenya shillings badala ya kulipia in dollars tukinunua kitoka nje,

The only time tunapanga kununua umeme kutoka nje ni kama demand ime exe d supply etc Hatuna mpango wa kutegemea umeme wa kutoka nje kama main supply ... Kwahivyo kama mnagenga dam zenu mkitegemea majirani watanunua umeme bula mkataba wowote ...you are in for a rude shock.... Na hata mki sign mkataba bado si guaranteed... Kwa mfano Kenya na Tz walisign mkataba wa kununua 400MW each kutoka Kwa Ethiopia dam ambayo itaproduce 6000MW...
Sasa Tz inajenga dam yake kwahivyo haitanunua hii 400MW kutoka Ethiopia... Kenya nayo inapanga kujenga 700MW High grand falls dam by 2025... British firm gets nod to build mega dam in Kenya Kenya na Tz ndo walikua wawe biggest foreign customers wa Ethiopian dam, sasa Ethiopia tayari imeshapoteza Tz, kumaanisha wako na extra 400MW... Hata kama Kenya itanunua umeme kutoka nje, Ethiopia has more than enough, why would we want another transmission line conning all the way from sealous game reserve up to Nairobi, given that we are already oversupplied locally...
Inaonekana hujui unalozungumza. Tanzania kwa sasa 52% ya umeme kutokana na gas ambayo gharama yake ni sawa na Geothermal $0.052, kwa sasa hivi hapa Tanzania tunanunu kwa bei ya $10 KWhr, baada ya kukamilika huu mradi wa Rufiji hydroelectric dam, gharama zitashuka chini ya $0.4KWhr.

Kitu kimoja unapaswa ujue kwamba, Tanzania hatujengi hili dam kwa lengo la kuuza UMEME, lengo ni kupata UMEME wa kutosha na wenye bei rahisi ili kukidhi viwanda na uchumi unaokwenda kwa kasi. Hata kama ni kuuza UMEME, kumbuka Tanzania imezungukwa na nchi nyingi ambazo uchumi wa nchi hizo unakua kwa kasi sana na mahitaji ya umeme na gasi katika nchi hizo ni makubwa sana, nchi kama Msumbiji, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, na Rwanda, tayari nchi zote hizi zimeshaunganishwa na Tanzania.

Ninaposema Kenya ni muhimu kununua UMEME wa maji ambao ni cheap, sio kwa faida ya Tanzania, bali ni kwa faida ya Kenya na uchumi wa Kenya. Cost of production is the most single important factor for investors to decide where to invest. Siku zote unazalisha katika nchi ambayo gharama za uzalishaji ni ndogo, then unauza kwenye nchi yenye Wateja, sio unazalisha katika nchi yenye Wateja hata kama gharama katika nchi hiyo zipo juu, biashara gani hiyo?, bidhaa zako zitashindwa kushindana na zinazotoka nje ya nchi.
 
Inaonekana hujui unalozungumza. Tanzania kwa sasa 52% ya umeme kutokana na gas ambayo gharama yake ni sawa na Geothermal $0.052, kwa sasa hivi hapa Tanzania tunanunu kwa bei ya $10 KWhr, baada ya kukamilika huu mradi wa Rufiji hydroelectric dam, gharama zitashuka chini ya $0.4KWhr.

Kitu kimoja unapaswa ujue kwamba, Tanzania hatujengi hili dam kwa lengo la kuuza UMEME, lengo ni kupata UMEME wa kutosha na wenye bei rahisi ili kukidhi viwanda na uchumi unaokwenda kwa kasi. Hata kama ni kuuza UMEME, kumbuka Tanzania imezungukwa na nchi nyingi ambazo uchumi wa nchi hizo unakua kwa kasi sana na mahitaji ya umeme na gasi katika nchi hizo ni makubwa sana, nchi kama Msumbiji, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, na Rwanda, tayari nchi zote hizi zimeshaunganishwa na Tanzania.

Ninaposema Kenya ni muhimu kununua UMEME wa maji ambao ni cheap, sio kwa faida ya Tanzania, bali ni kwa faida ya Kenya na uchumi wa Kenya. Cost of production is the most single important factor for investors to decide where to invest. Siku zote unazalisha katika nchi ambayo gharama za uzalishaji ni ndogo, then unauza kwenye nchi yenye Wateja, sio unazalisha katika nchi yenye Wateja hata kama gharama katika nchi hiyo zipo juu, biashara gani hiyo?, bidhaa zako zitashindwa kushindana na zinazotoka nje ya nchi.
Sasa kwa akili zako duni ukafikiri kuwa hizo Nchi jirani hazina miradi yake ya umeme eti wote wamezubaa wakimgoja mtanzagiza wa tuta tuna ajenge dam ili wa-import kutoka kwake? Usisahau kuna wakati KENYA ilikuwa unanunua umeme kutoka Uganda ila kwa sasa Tunatengeneza umeme mwingi kushinda UG inabidi tukomeshe importation. Kama ulivyo elimishwa hapo awali kuwa umeme is not the only factor in production bali kuna others kama sheria za Nchi husika, skilled labor, purchasing power na pia changes in technology. Hapana kurupuka ati mtawauzia majirani ni kama Nchi zao ni jangwa ...Kenya ni jangwa ila karibu tuwauzie nyie umeme tena tumewawacha kwa miaka mingi pande ya ukuzaji umeme na gap inazidi kupanuka Mzee Jiwe.
 
Sasa kwa akili zako duni ukafikiri kuwa hizo Nchi jirani hazina miradi yake ya umeme eti wote wamezubaa wakimgoja mtanzagiza wa tuta tuna ajenge dam ili wa-import kutoka kwake? Usisahau kuna wakati KENYA ilikuwa unanunua umeme kutoka Uganda ila kwa sasa Tunatengeneza umeme mwingi kushinda UG inabidi tukomeshe importation. Kama ulivyo elimishwa hapo awali kuwa umeme is not the only factor in production bali kuna others kama sheria za Nchi husika, skilled labor, purchasing power na pia changes in technology. Hapana kurupuka ati mtawauzia majirani ni kama Nchi zao ni jangwa ...Kenya ni jangwa ila karibu tuwauzie nyie umeme tena tumewawacha kwa miaka mingi pande ya ukuzaji umeme na gap inazidi kupanuka Mzee Jiwe.
Wewe ni mjinga sana, tayari hizo nchi zimeshaunganishwa na Tanzania na wameshakuja kuomba tuwauzie UMEME wa bei nafuu pamoja na gas. Ninyi hata kama mtazalisha umeme mwingi kiasi gani, hauwezi kununuliwa kwasababu mnatumia Geothermal, wind na Solar, umeme wake ni ghali mara nne zaidi ya UMEME wa MAJI.

Acheni kujidanganya, cost of production kinachangia 60% ya investors kuamua wapi aende kuwekeza, hizo factors zingine zinachangia only 40%. Sasa hivi investors wengi wabakimbilia Ethiopia kuliko Kenya, Tanzania au Uganda kwasababu UMEME Ethiopia ni $0.25 wakati hizi nchi zetu ni zaidi ya $10cent, that's why Ethiopia economy growth is leading in Africa.
 
Wewe ni mjinga sana, tayari hizo nchi zimeshaunganishwa na Tanzania na wameshakuja kuomba tuwauzie UMEME wa bei nafuu pamoja na gas. Ninyi hata kama mtazalisha umeme mwingi kiasi gani, hauwezi kununuliwa kwasababu mnatumia Geothermal, wind na Solar, umeme wake ni ghali mara nne zaidi ya UMEME wa MAJI.

Acheni kujidanganya, cost of production kinachangia 60% ya investors kuamua wapi aende kuwekeza, hizo factors zingine zinachangia only 40%. Sasa hivi investors wengi wabakimbilia Ethiopia kuliko Kenya, Tanzania au Uganda kwasababu UMEME Ethiopia ni $0.25 wakati hizi nchi zetu ni zaidi ya $10cent, that's why Ethiopia economy growth is leading in Africa.
Hahahaha na zile 1350MW mnawauzia Nani seriously kama hata Dar yenyewe umeme ni shida? Kojoa ulale ndugu nafikiri stress ya TanzaGIZA inaadhiri uwezo wako wa kimafikra ama GENERATOR kaisha mafuta? Hahahaha lala unono.
 
reality check... Kenya inaproduce 2,351 MW against a peak demand of 1,802 MW... Tayari tuko na excess, Turkana wind firm inaongozwa 310MW Jan mwaka Ujao na pia kuna 140MW za olkaria geothermal kuanzia June 2019.... mbali na 50MW garissa solar ambayo imekamolika...
Yani Kwa kifupi tuko na oversupply ya umeme in the short term period....


In the long term kuanzia 2021 Kengen inapanga kuongeza 700MW za geothermal, kuna Lamu powerplant ambayo itaongeza 1050MW by 2025 lakini in phases of 250MW each phase for 5 years.....na kuna high grand falls dam 700MW ambayo itakamilika 2025.....


Sisi tunazalisha umeme kidogo kidogo kulingana na projected demand ambayo inakua Kwa 5% kila mwaka, Tz na Ethiopia wanataka kuzalisha umeme mwingi Kwa mpigo kwasababu mnataka kuuzia majirani, kueni makini sije mwishowe mkabaki na umeme wenu
LOL eti Kenya Inaproduce 2000 blah blah, umeshapakia chang'aa
 
Hahahaha na zile 1350MW mnawauzia Nani seriously kama hata Dar yenyewe umeme ni shida? Kojoa ulale ndugu nafikiri stress ya TanzaGIZA inaadhiri uwezo wako wa kimafikra ama GENERATOR kaisha mafuta? Hahahaha lala unono.
Utabaki kupiga kelele wakati nchi yenu kila kitu hovyo kabisa, purely failed state
 
Utabaki kupiga kelele wakati nchi yenu kila kitu hovyo kabisa, purely failed state
Nchi yetu ni failed at $88billion GDP...taja GDP ya passed state Tanzagiza nicheke kiasi.
Anyway si hiyo Egypt ni ile ile inataka kuanzisha vita na Nchi za great lakes juu ya R. Nile? Sasa mshakuwa collaborators wa neocolonialism kwaa kuwasaliti wenzenu?
Dam yenyewe hata kama itajengwa si hivi sasa ni miaka kama 20 hivi or even never. nimekuuliza mnawauzia Nani umeme Hio wenu wa 1350MW kama hata Dar umeme ni wa mgao?
 
Nchi yetu ni failed at $88billion GDP...taja GDP ya passed state Tanzagiza nicheke kiasi.
Anyway si hiyo Egypt ni ile ile inataka kuanzisha vita na Nchi za great lakes juu ya R. Nile? Sasa mshakuwa collaborators wa neocolonialism kwaa kuwasaliti wenzenu?
Dam yenyewe hata kama itajengwa si hivi sasa ni miaka kama 20 hivi or even never. nimekuuliza mnawauzia Nani umeme Hio wenu wa 1350MW kama hata Dar umeme ni wa mgao?

Umerukwa na akili ama unasoma huelewi.

Umeambiwa huo umeme tunatarajia kuzalisha ni kwa matumizi binafsi,na majirani waliofika bei kuuziwa.

Halafu acha ujinga,misri yawapasa wampoze mwenye ushawishi ukanda huu,kabla ya kudeal na madogo waliobaki.anajua TZ wakiishapata umeme wa uhakika kwenye mto mwingine,hawata hangaika kuharibu vyanzo vinavyoipa uhai victoria.hata hivyo kupambana na misri sio ujanja,hapa duniani tunaishi kwa kusaidiana.

Dogo tz hatuendi endi tu,kama inzi,tukiwaambia ukanda huu sisi ndio master minders ujue ni kwanini.
 
Umerukwa na akili ama unasoma huelewi.

Umeambiwa huo umeme tunatarajia kuzalisha ni kwa matumizi binafsi,na majirani waliofika bei kuuziwa.

Halafu acha ujinga,misri yawapasa wampoze mwenye ushawishi ukanda huu,kabla ya kudeal na madogo waliobaki.anajua TZ wakiishapata umeme wa uhakika kwenye mto mwingine,hawata hangaika kuharibu vyanzo vinavyoipa uhai victoria.hata hivyo kupambana na misri sio ujanja,hapa duniani tunaishi kwa kusaidiana.

Dogo tz hatuendi endi tu,kama inzi,tukiwaambia ukanda huu sisi ndio master minders ujue ni kwanini.
Kweli kabisa nyie ndio masterminds wa propaganda, mdomo, renders, uzinduaji wa miradi ya kwenye makaratasi hapo hakuna wa kuwashinda.
 
Nchi yetu ni failed at $88billion GDP...taja GDP ya passed state Tanzagiza nicheke kiasi.
Anyway si hiyo Egypt ni ile ile inataka kuanzisha vita na Nchi za great lakes juu ya R. Nile? Sasa mshakuwa collaborators wa neocolonialism kwaa kuwasaliti wenzenu?
Dam yenyewe hata kama itajengwa si hivi sasa ni miaka kama 20 hivi or even never. nimekuuliza mnawauzia Nani umeme Hio wenu wa 1350MW kama hata Dar umeme ni wa mgao?
Nimekuambia wewe ni kichaa, sisi tunawapa kazi our fellow Africans, kumbuka Egypt ilishiriki kikamilifu katika mapambano ya ukombozi kusini mwa Afrika, wakati ninyi Kenya mlikua mbashirikiana na wazungu, Egypt is a more African than Kenya.

GDP wa kwenye makaratasi nothing to show on the group. Tanzania tunajenga SGR kwa $3.2B, na tunajenga Rufiji hydroelectric dam kwa $2.9B, tumenunua ndege kwa $600M, total $6.7B, kwa pesa yetu wenyewe. Nionyeshe project moja yenye thamani ya only $1B mnayotumia pesa ya ndani. Zaidi ya kuimba GDP, nini zaidi mnaweza kuonyesha hiyo GDP imefanya?. Failed state.
 
Green field terminal..
Galana Irrigation project
Mumia sugar company
Crude oil pipeline
BRT
Electrification of old model diesel SGR
Lamu port
5 big stadia
Laptop per child
Mombasa Nairobi super high way

Hongera sana GoK kwa kukamilisha ahadi zenu.
Kweli kabisa nyie ndio masterminds wa propaganda, mdomo, renders, uzinduaji wa miradi ya kwenye makaratasi hapo hakuna wa kuwashinda.
 
LOL eti Kenya Inaproduce 2000 blah blah, umeshapakia chang'aa
Blah blah blah indeed which is very funny...

Kenya’s maximum power demand crossed the 1,800-megawatt (MW) mark last month on increased consumption by a handful of large consumers.
The Energy Regulatory Commission (ERC) says that peak demand hit 1,802 MW on June 6 from 1,770 MW at the start of the year – a two per cent growth over the half-year period.
The rise has been chiefly attributed to the State’s introduction of discounted night-time electricity tariffs last December for manufacturers as an incentive to fire up demand.
The peak demand of 1,802 MW against the country’s total installed capacity of 2,351 MW, leaves the country with a reserve margin of 549 MW, according to the ERC.
The reserve power often takes care of emergency situations like when several plants are taken off the national grid during maintenance or unforeseen breakdowns .
Electricity demand crosses 1,800MW mark



I have been wondering why power hardly ever goes off these days and if it does it comes back in minutes now I understand how they utilized the reserve power, If one plant is shut down for maintenance they just increase the production of other plants to cover up the demand... That in addition to the live maintenance technology that they use these days is the reason I don't even remember the last time I experienced a blackout!
 
Nimekuambia wewe ni kichaa, sisi tunawapa kazi our fellow Africans, kumbuka Egypt ilishiriki kikamilifu katika mapambano ya ukombozi kusini mwa Afrika, wakati ninyi Kenya mlikua mbashirikiana na wazungu, Egypt is a more African than Kenya.

GDP wa kwenye makaratasi nothing to show on the group. Tanzania tunajenga SGR kwa $3.2B, na tunajenga Rufiji hydroelectric dam kwa $2.9B, tumenunua ndege kwa $600M, total $6.7B, kwa pesa yetu wenyewe. Nionyeshe project moja yenye thamani ya only $1B mnayotumia pesa ya ndani. Zaidi ya kuimba GDP, nini zaidi mnaweza kuonyesha hiyo GDP imefanya?. Failed state.
Wakati Sisi huchukua mikopo directly for specific projects... E.g SGR....

Tanzania na JPM wenu anajipiga kifua kila siku anajenga Kwa cash kumbe no mikopo..... E.g data za BoT zinaonyesha External borrowing ya GoT 2017 ilikua ni $1.9B right around the same time mulianza kujenga SGR.... Jan2018 serekali ya Tz ikapokea mkopo wa $200m right around the same time mkaanza kupokea ndege....


Wakati Sisi huku Kenya mikopo unaenda directly Kwa account za project huko Tz mikopo unaenda Kwa account ya serekali alafu watu waambiwa 'tunajenga Kwa pesa zetu!'


On the other hand, Kenya licha ya kua na population ndogo inapanga kuongeza bajeti ya elimu 2019 Hadi $4Billion !!! Wakati Tz bado bajeti ya elimu hata haifiki $1B tena $300m ilikua itolewe na World Bank ambao wameweka masharti Yao ndo iwapatie huo Masaada.
 
Blah blah blah indeed which is very funny...

Kenya’s maximum power demand crossed the 1,800-megawatt (MW) mark last month on increased consumption by a handful of large consumers.
The Energy Regulatory Commission (ERC) says that peak demand hit 1,802 MW on June 6 from 1,770 MW at the start of the year – a two per cent growth over the half-year period.
The rise has been chiefly attributed to the State’s introduction of discounted night-time electricity tariffs last December for manufacturers as an incentive to fire up demand.
The peak demand of 1,802 MW against the country’s total installed capacity of 2,351 MW, leaves the country with a reserve margin of 549 MW, according to the ERC.
The reserve power often takes care of emergency situations like when several plants are taken off the national grid during maintenance or unforeseen breakdowns .
Electricity demand crosses 1,800MW mark



I have been wondering why power hardly ever goes off these days and if it does it comes back in minutes now I understand how they utilized the reserve power, If one plant is shut down for maintenance they just increase the production of other plants to cover up the demand... That in addition to the live maintenance technology that they use these days is the reason I don't even remember the last time I experienced a blackout!

Hata mimi nilikua nashangaa kwanini umeme siku hizi haukatiki, yaani napiga kazi tu mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom