Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,424
- 2,519
Habari zenu,
Jina hili huenda si geni sana pia linaweza kuwa sio enyeji kwenye masikio ya wafuatilaji wa siasa za Tanzania, hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kumekua na taarifa kuwa kada wa CCM na mjumbe wa baraza kuu la jumuiya ya vijana CCM ndugu Leodga Leonard Kachebonaho amekua akitwajwa kwa mazuri kama mtu anayejitoa kusaidia wengine.
Mtu asiye na makuu na kijana anayejituma, huku upande wa pili ukidai kijana ni katili anayejificha kwenye sura ya upole, mdhulumaji mwenye roho ngumu huku wengine wakienda mbali zaidi wakidai akiwa kama
Mkurugenzi wa kampuni ya Clearing and forwarding KPD amekua akichelewesha mishahara ya watumishi wake pia amekua akiwalipa kidogo madai ambayo yote hayajathibishwa wazi.
Sarakasi hizi wengine wamedai kuwa ni sababu kijana huyo japo hajaweka wazi ila ameonesha nia ya kugombea ubunge 2025 kupitia jimbo la Bukoba mjini hivyo kupata mashambulizi ya kujihami kutoka kwa watu wenye interests sawa.
Wanajamvi anayejua ABC kumhusu huyu Kijana naomba atuwekee hapa. Asanteni.
Jina hili huenda si geni sana pia linaweza kuwa sio enyeji kwenye masikio ya wafuatilaji wa siasa za Tanzania, hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kumekua na taarifa kuwa kada wa CCM na mjumbe wa baraza kuu la jumuiya ya vijana CCM ndugu Leodga Leonard Kachebonaho amekua akitwajwa kwa mazuri kama mtu anayejitoa kusaidia wengine.
Mtu asiye na makuu na kijana anayejituma, huku upande wa pili ukidai kijana ni katili anayejificha kwenye sura ya upole, mdhulumaji mwenye roho ngumu huku wengine wakienda mbali zaidi wakidai akiwa kama
Mkurugenzi wa kampuni ya Clearing and forwarding KPD amekua akichelewesha mishahara ya watumishi wake pia amekua akiwalipa kidogo madai ambayo yote hayajathibishwa wazi.
Sarakasi hizi wengine wamedai kuwa ni sababu kijana huyo japo hajaweka wazi ila ameonesha nia ya kugombea ubunge 2025 kupitia jimbo la Bukoba mjini hivyo kupata mashambulizi ya kujihami kutoka kwa watu wenye interests sawa.
Wanajamvi anayejua ABC kumhusu huyu Kijana naomba atuwekee hapa. Asanteni.