u
Nyerere alijuta kumwachia mwing nchi baada ya kuvurunda na kuanzisha makundi ya udini ikiwemo pamoja na kuasisi mitandao ya madawa ya kulevya iliyoshamiri kipindi chake kama uyoga. Unachokisema upole kinaweza kuwa uzembe!.
Wakati wa nyerer Watanzania waliheshimika dunia nzima. Mara nyingine hata airports za kimataifa tulipita bila kukaguliwa kwa sana lakini baada ya vimbwanga vya mwiny kila mahala ukisema ni Mtz, unaangaliwa kw macho mawili mawili yenye mashaka.
Nyerere aliyashuhudia mikutano ya kidini isiyo na uhusiano na serikla iikifanyika ikul. Nani asiyejua jins huyu mzee alivyoifanya tz? Nyerere aliumia akasema anajuata kumpa huyu nchi.
Siyo kwamba laitaka kurudi mwenyew. N amktu akijuta haina maana anataka afanyeyeye.
Wenye dini ya matusi na mapanga, kazi kwenu.
Acha blaa blaa! Unatakiwa kuuliza Kaka zako Mwinyi aliipokea Nchi hii ikiwa katika hatua ipi kiuchumi na Kijamii?
Hakuna Chakula ulichokuwa unaweza kununua bila ya kibali cha Mjumbe wa a Nyumba kumi ( Balozi)
Kila Sector ilikuwa Mbovu sana.
Mzee Ally Hassan Mwinyi aliweza kuvusha Taifa kutoka kwny Mfumo mmoja kwenda Mwingine bila ya Mtikisiko Mkubwa na hili ni Jambo kubwa sana sema tu lilifanywa na Mtu asieamini kwny Mbwembwe na misifa
Andika chakoutumbo mtupu, hamna ulichoandika cha maana hapo
Sure Na Watu mitaani maisha yalikuwa Swafi sana, Mpaka ulipofika Ukapa!Acha blaa blaa! Unatakiwa kuuliza Kaka zako Mwinyi aliipokea Nchi hii ikiwa katika hatua ipi kiuchumi na Kijamii?
Hakuna Chakula ulichokuwa unaweza kununua bila ya kibali cha Mjumbe wa a Nyumba kumi ( Balozi)
Kila Sector ilikuwa Mbovu sana.
Mzee Ally Hassan Mwinyi aliweza kuvusha Taifa kutoka kwny Mfumo mmoja kwenda Mwingine bila ya Mtikisiko Mkubwa na hili ni Jambo kubwa sana sema tu lilifanywa na Mtu asieamini kwny Mbwembwe na misifa
Who is muhidin kimarioMahali Fulani walisema, Iwapo Nyerere atakufa kwa Ugojwa au Kuuwawa, Ni most likely Viongozi wa Kiraia Akiwepo, Msuya, Malechela, Bomani, etc Wangeshindwa Kuchukua Nchi. Na kwa Njia Hiyo watakaoweza Kuchukua Madaraka watakua ni 1) Imran Kombe au Muhidin Kimario. Lakini walionyesha Kombe ndiye waliyemhusudisha sana hata Kuweka Picha yake kwenye andishi la riport hiyo.
File la Pili Uk. no 16
Wakasema sehemu Nyingine Pia, Iwapo "Successor wa Nyerere akaondoka Ghafla Kutoka Kwenye uwepo" Basi ambao wangeweza Kuingia Madarakani Bila kuingizwa kwa Ushawishi wa Nyerere ni 1) David Msuya 2)Paulo Bomani au Mkapa wangekuwa na Nafasi ya Kuchaguliwa.
File la kwanza Uk. No 10
Huu uzi ni shiddah! Kama ni dawa basi weka mbali na watoto.In short Inawezekana Wengi waimsingizia Mwinyi Mengi, Tatizo Kubwa La Utawala wa Mwinyi ilikuwa ni Rushwa ndicho alicholalamikia Nyerere. Lakini Nyerere hakuwa na Mpango wa Kung'atuka, alilazimika kufanya hivyo kwa Wimbi la Kuanguka kwa Socialism na Communism Dunia Nzima. Na hali ya U humi ilikuwa mbaya sana kiuchumi na soon Viashiria Vilionyesha kuwa hata Kiusalama angepitiliza 1985 ingekuwa ni hatari sana kwake labda abadilishe Msimamo kuhusu ujamaa, Mwalimu hakuwa Tayari kurudi nyuma, Alisema Akigeuka nyuma atakuwa Jiwe! ( Hii ni Falsafa Nyerere aliyokuwa ameiikopa kutoka kwa Adolf Hittler. Soma Kitabu cha Hittler Mein Kampf au My Straggle kwa English) Hittler alisema Ukiwaongoza watu Direction Fulani kisha ukagundua ulikosea au umeshidwa, basi watakuwa ni wajinga sana kama ukiwaambia turudi nyuma au twende upande mwingine niliwakosesha, Hittler akasema Kiongozi ukifanya hivyo na Watu wakamufuata Tena, basi jnatakiwa uwashangae sana! Ila kama imebidi kubadilisha mwelekeo basi Kiongozi Thabiti ni Lazima akae pembeni na aruhusu mwingine kuchukua Usukani.
Kadhalika Ushahidi Kuw Nyerere alipenda sana Stail ya Hittler Kwa Mambo Mengi, (Yale Mazuri, Hittler alikuwa ni Mwovu lakini alikuwa ni Kiongozi Mwenye Uwezowa Ushawishi kuliko yeyete Kuopata Kutokea! Pia aliitoa Ujerumani ya Unyonge baada ya Vita ya Kwanza ya Dunia na Kuifanya Ujerumani Taifa Lenye Nguvu kuliko yote wakati Ule! Aliweza Kuiteka Ufaransa chini ya Wiki moja! Anyway, Ukitaka Kujua Nyerere alimhudisha Hittler Tanzama hata Nyerere staili yake ya Kunyoa Ndevu, Na jinsi alivyokuwa akinyamaza Muda wa Kama Dakika kabla ya Kuhutubia huku akiwaangalia audience na hata katikati ya hotuba. Na huo Msimamo wa Kugeuka Jiwe!
Hittler alivyonyoa Mustache!
Nyere alivyonyoa Mustache!
Stail ya Hittler ya Kuhutubia.
Umemsahau Daud BallaliUnajua Tanzania ina siri nyingi sana. Sana. Hata ukiacha kifo tata cha Sokoine, kifo cha Karume pia ni tata, Mapinduzi ya Zanzibar yenyewe haya heleweki, kuondoka kwa Kambona, kupotea kisiasa kwa Bibi Titi, kufa kwa akina Sykes, mengi mengi ni siri. Na hii yote ni kwasababu Nchi kama Nchi yeyote Duniani lazima iwe na siri kwasababu Umma hautakiwi kujua kila kitu na uongozi ni siri nzito sana. Hata kipindi cha Ufalme zamani haya yali kuwako.
Pia uswahiba wake na Lyatonga Mrema, Kiongozi wa Upinzani kuligharimu uhai wake. Inaaminika alikuwa anampenyezea taarifa muhimu za Nchi toka Idarani.Nimesoma tu kama wewe ila najaribu kuunganisha Dots, Kila mtu alisikia Kuuwawa Kwa Kombe ni Amri ilitolewa na Mwenyekiti wa CCM nafikiri Mkapa alijinasua kwa Kusema Kuwa Mwenyekiti gani hasa kwani Kuna waliostaafu.
Sasa Kuna Riport Nyingine inayoknyesha Kuwa Kombe alishukiwa Kuwa alikuwa ni Rafiki Mkubwa wa Kambona na Wake zao walikuwa Ni Ndugu!
A retired Major General of TPDF.Who is muhidin kimario
Alikuwa ni Meja Jenerali mstaafu wa JWTZ ambaye pia baadae alihudumu kama Mkurugenzi wa Tiss.Jamani kwani huyo Imran Kombe alikua ni nani katika serikali maana ametajwa xana kila nikisoma na kwanini anasema alinyakuliwa nani alimnyakua?
Jamani kwani huyo Imran Kombe alikua ni nani katika serikali maana ametajwa xana kila nikisoma na kwanini anasema alinyakuliwa nani alimnyakua?
Who is muhidin kimario
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amefanya mengi sana ya kukumbukwa hasa katika sekta ya uchumi wa Tanzania. Ni ukweli usio pingikia yeye ndio ali ruhusu daladala zianze kufanya kazi Dar Es Salaam na sio UDA tu, pia ali ruhusu biashara zifanyike na watu waka jipatia mali na fedha wakati ule. Ushauri wa kiuchumi ulio kuwa una fanywa na mshauri wa Serikali katika mambo ya kiuchumi; Pr. Ibrahim Lipumba uli saidia sana kusema kweli. Ila tatizo alilo kuwa nalo Rais Mwinyi ni mawili moja Upole na pili udhaifu ulio pitiliza. Ukweli ni kwamba Rais Mwinyi ali mchukiza Mwalimu hasa hasa katika kuruhusu watu wampande kichwani na kuwafanya watu waanze kudharau taasisi ya uraisi. Rais Mwinyi ali ruhusu mijadala ya kutaka serikali tatu ifanyike bungeni mwaka 1992 ambapo ika fanya wabunge 44 wadai serikali ya Tanganyika iundwe na Mwinyi alionekana wazi alitaka kuipitisha ambapo ika mfanya Mwalimu mwenyewe 14-8-1993 alikwenda Bungeni kwenda kuongea na Bunge zima madhara ya serikali tatu kuanzia hapo Mwalimu haku mwamini Tena Rais Mwinyi. Na ndio maana hadi leo ni ngumu MZanzibari kuwa Rais katika serikali ya Muungano toka 1995.Acha blaa blaa! Unatakiwa kuuliza Kaka zako Mwinyi aliipokea Nchi hii ikiwa katika hatua ipi kiuchumi na Kijamii?
Hakuna Chakula ulichokuwa unaweza kununua bila ya kibali cha Mjumbe wa a Nyumba kumi ( Balozi)
Kila Sector ilikuwa Mbovu sana.
Mzee Ally Hassan Mwinyi aliweza kuvusha Taifa kutoka kwny Mfumo mmoja kwenda Mwingine bila ya Mtikisiko Mkubwa na hili ni Jambo kubwa sana sema tu lilifanywa na Mtu asieamini kwny Mbwembwe na misifa
Jeshini ukishakua general tu basi unakua mtu hatari sana.A retired Major General of TPDF.
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amefanya mengi sana ya kukumbukwa hasa katika sekta ya uchumi wa Tanzania. Ni ukweli usio pingikia yeye ndio ali ruhusu daladala zianze kufanya kazi Dar Es Salaam na sio UDA tu, pia ali ruhusu biashara zifanyike na watu waka jipatia mali na fedha wakati ule. Ushauri wa kiuchumi ulio kuwa una fanywa na mshauri wa Serikali katika mambo ya kiuchumi; Pr. Ibrahim Lipumba uli saidia sana kusema kweli. Ila tatizo alilo kuwa nalo Rais Mwinyi ni mawili moja Upole na pili udhaifu ulio pitiliza. Ukweli ni kwamba Rais Mwinyi ali mchukiza Mwalimu hasa hasa katika kuruhusu watu wampande kichwani na kuwafanya watu waanze kudharau taasisi ya uraisi. Rais Mwinyi ali ruhusu mijadala ya kutaka serikali tatu ifanyike bungeni mwaka 1992 ambapo ika fanya wabunge 44 wadai serikali ya Tanganyika iundwe na Mwinyi alionekana wazi alitaka kuipitisha ambapo ika mfanya Mwalimu mwenyewe 14-8-1993 alikwenda Bungeni kwenda kuongea na Bunge zima madhara ya serikali tatu kuanzia hapo Mwalimu haku mwamini Tena Rais Mwinyi. Na ndio maana hadi leo ni ngumu MZanzibari kuwa Rais katika serikali ya Muungano toka 1995.
Alikuwa ndiye bosi wa usalama wa taifa
Acha kusoma magazeti ya udaku na kusikiliza bongo fleva tu
Alikuwa mmoja ktk maafisa wa ngazi za juu jeshini
Nfkr kama sikosei amestaafu akiwa meja jenerali
Jeshini ukishakua general tu basi unakua mtu hatari sana.