kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Ikiwa Mungu hayupo ni nani atakaye okoa dunia?
Wanadamu sasa hivi tunaishi kama wanyama maana wanyama hawanaga aibu wala akili
Sasa hivi mambo ambayo yalikuwa ya aibu kusema mbele za watu au kuonyesha mbele za watu au kutenda mbele za watu
Yamekuwa mambo ya kawaida tu na ukijaribu kuhoji unajibiwa kuwa tuna kwenda na wakati au jali na mambo yako. Wako wapi wale wazee ambao walikuwa wanafundisha watoto jinsi ya kuwa na maadili mazuri
Sasa hivi si kwa wazee au vijana sote tumekuwa kama wanyama
Ebu tufikiria baada ya miaka 10 au 20 tu dunia itakuwaje?
Wanadamu sasa hivi tunaishi kama wanyama maana wanyama hawanaga aibu wala akili
Sasa hivi mambo ambayo yalikuwa ya aibu kusema mbele za watu au kuonyesha mbele za watu au kutenda mbele za watu
Yamekuwa mambo ya kawaida tu na ukijaribu kuhoji unajibiwa kuwa tuna kwenda na wakati au jali na mambo yako. Wako wapi wale wazee ambao walikuwa wanafundisha watoto jinsi ya kuwa na maadili mazuri
Sasa hivi si kwa wazee au vijana sote tumekuwa kama wanyama
Ebu tufikiria baada ya miaka 10 au 20 tu dunia itakuwaje?