Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Nimefuatilia kwa makini hii sakata ya kutoa waraka (Nyaraka) na taasisi za kidini, na hapo hapo hapo wanasiasa wapinga jambo hilo, matokeo yake malumbano yanaanza.
Hivi kati ya;
1.Taasisi za kidini,
2.Wanasiasa,
3.Wananchi
Ni yupi anastahili kuandaa kiongozi bora?
Hivi kati ya;
1.Taasisi za kidini,
2.Wanasiasa,
3.Wananchi
Ni yupi anastahili kuandaa kiongozi bora?