Kutokana na mtazamo wa kiroho (Spiritual and Metaphysical perspective), dunia haiongozwi na nguvu za kibinadamu, silaha, au pesa. Badala yake, inaendeshwa na nguvu za kiungu, mamlaka za ulimwengu wa roho, na sheria za asili za ulimwengu (Universal Laws) ambazo mwanadamu hawezi kuzizuia
Katika ulimwengu wa roho, mambo yanayoonekana kwa macho ni matokeo ya yale yaliyokwisha kuamuliwa au kupangwa katika ulimwengu usioonekana.