Kwaninini unafikiria kwamba kuna watu wanampa hayo mabomu? kwani yeye hayaoni kwa macho yake wakati yumo humohumo kwenye system anauona uovu wote unaotendeka? hata hao wengine wote wanajua each and every thing . sema tu Dr. slaa MUNGU kampa ujasiri ambao wengine hawakupewa na hata kama wapo waliopewa lakini wanashndwa kuutumia!! Dr. goooo goooo!! Tunakuombea hawakuwezi MH.