Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,788
- 218,416
Mwanaharakati na Mtetezi wa Mali za Taifa , ambaye alikamatwa na kubambikwa kesi ya Uhaini , kutokana na msimamo wake wa kupinga Mkataba wa milele wa Bandari na Waarabu wa DP WORLD , Dkt Wilbrod Slaa, ameachiwa kwa dhamana na kurejea nyumbani kwake na kupokelewa na Baba Askofu Mwamakula na James Mbatia.
Dkt Slaa akihutubia Majirani zake na baadhi ya viongozi walioambatana naye amesisitiza kwamba kukamatwa kwake hakuwezi kumrudisha nyuma , ataendelea kupigania mali za Taifa hadi tone la mwisho , amesema ni heri kuhukumiwa duniani kuliko kuhukumiwa Mbinguni.
Dkt Slaa akihutubia Majirani zake na baadhi ya viongozi walioambatana naye amesisitiza kwamba kukamatwa kwake hakuwezi kumrudisha nyuma , ataendelea kupigania mali za Taifa hadi tone la mwisho , amesema ni heri kuhukumiwa duniani kuliko kuhukumiwa Mbinguni.