Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,007
- 122,355
Tuseme inshaAllah!
Tuseme inshaAllah!
nakuombea uendelee na utulivu wakoHahahahhaha nilijua utanibishia sijaamini ulivyojibu yaani mm ka binti kastaarabu sana mpaka najishangaa
AminaJapo ni privacy.
Sijawahi na sitarajii, Muumba wangu aniongoze katila hili.
Nadhan unaonaga anavyojiachia kutongoza waziwaziShemeji kuwa mpole tu
Astaghafir!!!wewe sio wangu tena,endelea na yule
ujinga sumuJapo ni privacy.
Sijawahi na sitarajii, Muumba wangu aniongoze katila hili.
Kumbe huoni yakwako eeh,me nilishanawa mikono kwako endelea nawale wakuleSikujua kama unaweza kuniumiza kiasi hichi
Nipakazie tu hivyohivyo..huyo ndo mwenyewe
Kivipi tenausichepuke acha kabisa ili uwe huru
Me sichepuki naacha kabisaNa we mchepukie ya nn kujitesa
Watakwambia ni natureNa nyie nani anawaruhusu kuchepuka??
Kwa sisi wakristu dini inaruhusu mke mmoja tu
Na kwa dini ya kiislam mpaka wawe wamepitishwa kwa imani ya dini
sasa basi nani anawaruhusu kuchepuka???
Huyo hana tofauti na king mswati au ni ndugu yakeNadhan unaonaga anavyojiachia kutongoza waziwazi
Nilijitakia kuumiza moyo wangu burenashangaaa,wanajiona wao hawakosei na sio hatuna mioyo,nikiamua kuchepuka nachepuka vizuri tu kikubwa nipate aman ya moyo
nakuombea uendelee na utulivu wako
Kweli wewe ni binti mstaarabu sana
Endelea kuwa sisterMe sichepuki naacha kabisa
mwifwa sio wangu tenaHunishindi mimi Shem, kwani Mwifwa alikua hakufikishii salamu zangu?
Hahahahhaha nilijua utanibishia sijaamini ulivyojibu yaani mm ka binti kastaarabu sana mpaka najishangaa
Watakwambia ni nature
Acha tu mimi mwenyewe nilishindwa kuamini mwanzoniHaah! Ndipo alipofika huko kweli?