moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,701
- 16,418
nashangaaa,wanajiona wao hawakosei na sio hatuna mioyo,nikiamua kuchepuka nachepuka vizuri tu kikubwa nipate aman ya moyoAww really?? Na kwann mwanaume uchepuke (labda),.??
nashangaaa,wanajiona wao hawakosei na sio hatuna mioyo,nikiamua kuchepuka nachepuka vizuri tu kikubwa nipate aman ya moyoAww really?? Na kwann mwanaume uchepuke (labda),.??
huyo ndo mwenyeweWe unachepuka??
Aliyekwambia sisi tunaridhika na kibamia kimoja nani hafu nyie wanaume hutofautiana utaalamu Kuna wapiga katerero mpaka waweza zirai Kuna wansojua mambo had waweza zimia, sasa wewe jidaganye eti nani katuruhusu hata sie tu napenda kucheza viwanja tofauti tofauti.
Cc moneytalkSikutetea uzinzi mkuu kwani ni dhambi hili lipo wazi!
Tatizo ni pale mwanamke anapojivika majukumu ya mwanaume.
Sisi wanaume tunaweza kuoa wake wengi vipi mwanamke anaweza kuolewa zna Zaidi ya mume mmoja at the same time?
Jibu ni haiwezekani.
Halafu suala la kusalitiwa mwanaume ndio mhanda Zaidi kwa maana ya kwamba mume ndie anaeumiza Zaidi kutokana na ugumu wa miyo yetu! Soma Mathayo 19:7-9 halafu uniambie ni kwanini mwanaume anavunja anauhusiwa kumpa talaka mkewe na kwanini sio mwanamke kumpa talaka mumewe.
I hope ukielewa hicho kifungu utakua na Amani sasa.
Kamwe moyo wa mwanamke sio sawa na moyo wa mwanaume hapa ndipo wanawake wengi mnapokosea kwa kujifananisha na wanaume.
WoyoooooSasa mnataka mchepuke na nani wakati hamtaki wanawake wachepuke? Hamueleweki
mwaaahHalafu wanafanya kusudi kutongoza wake za watu akisahau kuwa na mkewe anatongozwa.
Na sie ni binadamu ati, naanzaje kukataa kwa mfano.
**ukila vya watu jua na vyako vinaliwa maradufu.
Wewe nimekupata leo njoo hapa unisalimiemwaaah
Tuseme inshaAllah!Japo ni privacy.
Sijawahi na sitarajii, Muumba wangu aniongoze katila hili.
Mmh!Pole mkuu kwa yaliyokukuta kwa mkeo
Ukiona hivyo ujue amekuvumilia amechoka usiombe mwanamke achoke
Kweli wewe mwehu jamani,nipo hapa mtaalam wa katerero napendaga,Aliyekwambia sisi tunaridhika na kibamia kimoja nani hafu nyie wanaume hutofautiana utaalamu Kuna wapiga katerero mpaka waweza zirai Kuna wansojua mambo had waweza zimia, sasa wewe jidaganye eti nani katuruhusu hata sie tu napenda kucheza viwanja tofauti tofauti.
@Mwifwa ona hiinashangaaa,wanajiona wao hawakosei na sio hatuna mioyo,nikiamua kuchepuka nachepuka vizuri tu kikubwa nipate aman ya moyo
HahahaaaHaya mambo hata hayaeleweki. Ila sisi si tunachepuka na wasio olewa. Tena hatuchepuki ila tunawasaidia huduma
Abeeh shikamoo naona unataka kuleta ubishi wako huo ndio ukweli mwanamke akichoka utaona kila aina za rangiMmh!
Mkuu siamini kabisa aisee@Mwifwa ona hii
Amani ya moyo babe ndio kila kitunashangaaa,wanajiona wao hawakosei na sio hatuna mioyo,nikiamua kuchepuka nachepuka vizuri tu kikubwa nipate aman ya moyo
Aya basi sibishi tenaAbeeh shikamoo naona unataka kuleta ubishi wako huo ndio ukweli mwanamke akichoka utaona kila aina za rangi
Sikutetea uzinzi mkuu kwani ni dhambi hili lipo wazi!
Tatizo ni pale mwanamke anapojivika majukumu ya mwanaume.
Sisi wanaume tunaweza kuoa wake wengi vipi mwanamke anaweza kuolewa zna Zaidi ya mume mmoja at the same time?
Jibu ni haiwezekani.
Halafu suala la kusalitiwa mwanaume ndio mhanda Zaidi kwa maana ya kwamba mume ndie anaeumiza Zaidi kutokana na ugumu wa miyo yetu! Soma Mathayo 19:7-9 halafu uniambie ni kwanini mwanaume anavunja anauhusiwa kumpa talaka mkewe na kwanini sio mwanamke kumpa talaka mumewe.
I hope ukielewa hicho kifungu utakua na Amani sasa.
Kamwe moyo wa mwanamke sio sawa na moyo wa mwanaume hapa ndipo wanawake wengi mnapokosea kwa kujifananisha na wanaume.
kwakua ulikula kiapo basi vumilia tuMkuu siamini kabisa aisee
mimi haya mambo yakuchepuka yananiumiza sana,ngoja niendelee kusoma tu nitapata somo hapa
Acha kuchochea kuni weweAmani ya moyo babe ndio kila kitu