Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,421
- 455,435
Lakini mm sichepuki kabisa ila uvumilivu ukinishinda nitachepukaAya basi sibishi tena
Lakini mm sichepuki kabisa ila uvumilivu ukinishinda nitachepukaAya basi sibishi tena
shemeji yangu kipenzi, nilikumiss mimiWewe nimekupata leo njoo hapa unisalimie
Shemeji kuwa mpole tuAcha kuchochea kuni wewe
Ha haamwaaah
@Mwifwa ona hii
Ni jambo la kushangaza sana unakuta mwanamke anashindana na mume wake kuchepuka!
Hivi hamjui wanaume tunaweza kuoa wake wengi sana at the same time?
Wewe mwanamke unaweza olewa mara mbili kwa wakati mmoja? What the hell? tunakwenda wapi hii dunia?
Ni nani alie waambia mshindane na waume zenu?
Akili zenu zipo au hazipo? Hivi decent woman can do such stupid things?
Wanawake wa tit for tat sio kwani mwanamke ameumbwa na MUNGU amtii mume wake sio kushindana nae!
Mwanaume ni mwanaume na mwanamke ni mwanamke, kamwe mwanamke hawawezi fanana na mwanaume ndio maana tunatofautiana majukumu.
Keep it in mind if you want go higher.
Sikujua kama unaweza kuniumiza kiasi hichimimi haya mambo yakuchepuka yananiumiza sana,ngoja niendelee kusoma tu nitapata somo hapa
Na we mchepukie ya nn kujitesaya mwifwa nimazito,yeye anachepuka waziwazi na mimi nikishuhudia
Kweli wewe ni binti mstaarabu sanaLakini mm sichepuki kabisa ila uvumilivu ukinishinda nitachepuka
kabisa mpenzi wangu,mwenyewe hapa nilipo moyo wangu unavuja damuAmani ya moyo babe ndio kila kitu
ya mwifwa nimazito,yeye anachepuka waziwazi na mimi nikishuhudia
Hunishindi mimi Shem, kwani Mwifwa alikua hakufikishii salamu zangu?shemeji yangu kipenzi, nilikumiss mimi
Hahahahhaha nilijua utanibishia sijaamini ulivyojibu yaani mm ka binti kastaarabu sana mpaka najishangaaKweli wewe ni binti mstaarabu sana
Haah! Ndipo alipofika huko kweli?ya mwifwa nimazito,yeye anachepuka waziwazi na mimi nikishuhudia
wewe sio wangu tena,endelea na yuleAcha kuchochea kuni wewe
Sikujua kama unaweza kuniumiza kiasi hichi
We endelea tu kuvuja damu mwenzako yupo na amani zake za moyokabisa mpenzi wangu,mwenyewe hapa nilipo moyo wangu unavuja damu
Lakini mm sichepuki kabisa ila uvumilivu ukinishinda nitachepuka