Ni nani aliyekutuma kuoa mwanamke flat screen?

Ni nani aliyekutuma kuoa mwanamke flat screen?

Kila mmoja yuko huru kuchagua amtake wengine hilo furushi la mkeo hawalitaki hata bure.......hahahaha,,
 
kuna kipindi hivo viflat skrini vilipewaga sifa za kijinga eti mamiss, vipotabo au inglishi figa vilikuwa vinajidai sana. lkn sasa ivi yupa kulee. injoi na wife material wako mzee ila na mimi nikimuona lazima nimpigie mikelele maana ndo ugonjwa huo
mpaka vilivyokuwa na utapiamlo vikajiona vijitu.raha ya tipa bodi.mke ana mgongo akitembea unaimba kwinyakwinya
 
Mara nyingi hao wenye makalio makubwa wanavaa guo sizizo na staha, nguo za kubana wakt anajua umbo lake likoje hiyo ni makusudi kwa kujua makalio ni ugonjwa wa wanaume wengi, wahiyo mshauri awe anajistiri vizuri, likn pia wenye tabia ya kushangilia ni wanaume wa vijiweni wengine uwa tunageuka kimya kimya tunaagalia halaf unaendelea na safari
 
Hao wanaokufanyia fujo itakuwa Ni wale jamaa wanaopenda kula pilipili... hahaha
maana kwa kupigwa flat wanaongoza dunia
 
Nyama tam iko karibu n mfupa.wembamba ni safi kuliko matinginya
 
Makalio makubwa ni for sex ukioa had babaako atayatazama ya mkeo.
 
Naongea na wanaume wenzangu wale walio owa wanawake wenye makalio madogo halafu wakiona wa wenzao wenye makalio makubwa wanaanza kupiga mikelele.

Utakuta uko na mkeo matembezini uku kafungashia kidogo basi mijanaume isiyokuwa na akili inaanza kupiga mayowe oh wakubwa wanafaidi ohh marshallah.

Kwanini na wewe usioe au kutafuta mwanamke mwenye makalio na ukaacha kutamani vya wenzao. Kwanza unamkosea adabu mwanaume mwenzio kupiga miyowe utadhani umeona utupu wa mzazi wako.

Acheni ujinga tuacheni tuenjoy na wake zetu maana hatukuwatuma kuoa flat screen.

Nitonye
Acha ushamba,Sijawahi kutamani mwanamke mwenye makalio,napenda kitu simple kinachobebeka.
 
Naongea na wanaume wenzangu wale walio owa wanawake wenye makalio madogo halafu wakiona wa wenzao wenye makalio makubwa wanaanza kupiga mikelele.

Utakuta uko na mkeo matembezini uku kafungashia kidogo basi mijanaume isiyokuwa na akili inaanza kupiga mayowe oh wakubwa wanafaidi ohh marshallah.

Kwanini na wewe usioe au kutafuta mwanamke mwenye makalio na ukaacha kutamani vya wenzao. Kwanza unamkosea adabu mwanaume mwenzio kupiga miyowe utadhani umeona utupu wa mzazi wako.

Acheni ujinga tuacheni tuenjoy na wake zetu maana hatukuwatuma kuoa flat screen.

Nitonye
Hata kama ukioa mwenye makalio ya aina zote si rahisi kuridhika.
Aliyeoa mwembamba anatamani mnene and vise versa!
Kuridhika ni mtihani!
 
Hivi haya makalio makubwa faida yake nini haswa? Tuanzie hapo
 
Huyu mwanamke wako wewe unaenda kumpitisha mtaa gani huo amabo wanaume wanapiga mayowe,au unampitisha huko uswahilini vijiweni kwa wabia unga alafu ndo unaleta misifa humu.Kwa mfano tuambia kitu kimoja tu ambacho unakipata cha ziada ktk mapenzi kwenye hayo makalio makubwa ya mwanamke wako.Acha ulimbukeni!
 
Hivi haya makalio makubwa faida yake nini haswa? Tuanzie hapo
Ndo hapo sasa, watu wanachachawa na makalio ambayo wala hayana kitu chochote cha ziada ktk mapenzi zaidi ya kuloa mijasho na kutoa harufu mbayaa,mpaka kupulizia mapafyumu.
 
Duh! Ndio maana wengine wakiwa kwenye matembezi yao na wake zao huwa wanawatanguliza mbere
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom