Ni nani alishinikiza uteuzi wa Dr. William Mgimwa kuwa waziri wa fedha?

Ngongo

Ngongo mambo yote ni mfumo na wala siyo chama na hawa ndugu zetu wa cdm nawaona ni malimbukeni kidogo ila siyo sana.ni kama jogoo la shamba likija mjini haliwezi kuwika................lol
ebu ona ulivyo na short sight...aliekudanganya kuwa kila anaepinga shit zako ni CDM ni nani???..alafu unatukana watu...who the hell are you!!....ignorant...
 
wacha matusi we....mdomo mkubwa unao wewe na shit zako......mi katiba za vyama zinanihusu nini??mimi nataka kuona mambo yakifanyika on the ground(not on paper)....na ninaangalia chama chenye muelekeo wa kufanya hivyo.....na CDM wanaonyesha njia ...si bla bla zenu ccm..tumezichoka.......kawadan ganye majuha wenzako.....alafu vijana kama nyie ndo mnazidisha balaa..maana hamuonyeshi kubadilika....Btw...don't answer me back.....because i will not buy your shit.....
[MENTION]
nderingosha[/MENTION] Listen my son, do not argue with a fool as nobody will notice the difference between the two......you will all sound in tandem.,and that will be the worst form you can assume............
 
ebu ona ulivyo na short sight...aliekudanganya kuwa kila anaepinga shit zako ni CDM ni nani???..alafu unatukana watu...who the hell are you!!....ignorant...

[MENTION]nderingosha[/MENTION] put up if you can or simply shut up your large trap
 
Unajua kila tatizo lina suluhu yake: kama unaumwa nenda hospitali, kama umeonewa/Dhulumiwa nenda mahakamani au polisi. Kama nchi inaendeshwa vibaya na chama tawala chagua chama mbadala. Hivyo dunia ndivyo inavyokwenda. Sasa unapoainisha matatizo ya nchi kiutawala kama wewe sio sehemu ya utawala suluhisho lako ni LAZIMA kubadili utawala. Mambo ya kuwa kujisahihisha, kujirekebisha, kuonyana yanafanywa na mechanisms zilizomo ndani ya utawala
 
Unajua kila tatizo lina suluhu yake: kama unaumwa nenda hospitali, kama umeonewa/Dhulumiwa nenda mahakamani au polisi. Kama nchi inaendeshwa vibaya na chama tawala chagua chama mbadala. Hivyo dunia ndivyo inavyokwenda. Sasa unapoainisha matatizo ya nchi kiutawala kama wewe sio sehemu ya utawala suluhisho lako ni LAZIMA kubadili utawala. Mambo ya kuwa kujisahihisha, kujirekebisha, kuonyana yanafanywa na mechanisms zilizomo ndani ya utawala

chakarikamkopo kubadili utawala siyo lazima kubadili chama
 
Last edited by a moderator:
ukiwa na wateja 1000 wa 5mn/- three years period
Revenues collected ni 1.67bn/- per year
 
Back
Top Bottom