BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
Kiwango cha Bunge la Tanzania kubadili majukumu yake ya kikatiba na kuanza kujikita kwenye kupongeza yanatisha.Kutwa nzima ni speeining za kusifia na kupongeza.
Speed ya Wabunge kusifia Serikali au Raisi Mwenyewe ni kubwa sana na ilianza awamu ya 5 na sasa speed ina tisha. Huko Dodoma wabunge wana badilisha venue tu za sherehe za kupongeza Raisi mara kupongeza bajeti.
Yaani wameona ile ya kujadili bajeti na kuisifia na kuopitisha kwa asilimia zote haitoshi wanaona watoke na nje mtaani wafanye sherehe za kupongeza bajeti kupitishwa.Cha ajabu unakuta hao hao majimboni mwao kuna hali ngumu sana raia hawana vituo vya afya na kama vipo hakuna dawa, hakuna maji safi na salama ya kunywa, vijana hawana ajira, na haya ni matatizi ya miaka nenda rudi na mwakani bajeyi ijayo yatakuwepo tena.
Pale Rwanda kwa Mbabe Kagame huwezi kuta wabunge wa Chama cha Kagame wanafanya huu ujinga, Pale Uganda kwa Mseveni huwezi wakuta wabunge wa chama Tawala cha Mseveni wanafanya huu ufala, Pale Kenya ndio kabisa huwezi wakuta wana fanya haya.
Huu ujinga unafanywa na Bunge la Tanzania pekee ambalo limegeuka kuwa kitio cha Kupongeza too low.na hawa wabunge wa Vitu maalumu ndo wako front line kuongoza huu ujinga.
Speed ya Wabunge kusifia Serikali au Raisi Mwenyewe ni kubwa sana na ilianza awamu ya 5 na sasa speed ina tisha. Huko Dodoma wabunge wana badilisha venue tu za sherehe za kupongeza Raisi mara kupongeza bajeti.
Yaani wameona ile ya kujadili bajeti na kuisifia na kuopitisha kwa asilimia zote haitoshi wanaona watoke na nje mtaani wafanye sherehe za kupongeza bajeti kupitishwa.Cha ajabu unakuta hao hao majimboni mwao kuna hali ngumu sana raia hawana vituo vya afya na kama vipo hakuna dawa, hakuna maji safi na salama ya kunywa, vijana hawana ajira, na haya ni matatizi ya miaka nenda rudi na mwakani bajeyi ijayo yatakuwepo tena.
Pale Rwanda kwa Mbabe Kagame huwezi kuta wabunge wa Chama cha Kagame wanafanya huu ujinga, Pale Uganda kwa Mseveni huwezi wakuta wabunge wa chama Tawala cha Mseveni wanafanya huu ufala, Pale Kenya ndio kabisa huwezi wakuta wana fanya haya.
Huu ujinga unafanywa na Bunge la Tanzania pekee ambalo limegeuka kuwa kitio cha Kupongeza too low.na hawa wabunge wa Vitu maalumu ndo wako front line kuongoza huu ujinga.