Ni mwaka gani bei za bidhaa zilikuwa nafuu? Yawezekana kila mtu ana zamani yake kwa umri wake

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Tatizo la bei kupanda ni upungufu wa uzalishaji au kuna pesa nyingi kwenye mfumo wetu wa uchumi?

Vijana wengi sasa wana bet, Ni nani anajishughulisha na uzalishaji Mali, Kama hakuna anayelima, Vyakula tutatoa wapi? Kila mtu ana pesa ya kubet mfukoni. Bei za vitu zitazidi kwenda juu

Kila chombo cha habari kinasema baada ya dakika 10 za kubeti tu unavuna Milioni 20, Nani atakubali kwenda Kuongeza uzalishaji kwa hamasa ya Shinda kwa kubeti, Hakuna muujiza wa bei kushuka kama kila mtu ana pesa mfukoni za haraka haraka lazima azitumie kwenye bidhaa ambazo sokoni ni chache hivyo wauzaji wanaamua kupandisha juu

Kupunguza pesa kwenye mfumo wetu yawezekana kuna msaada kidogo, Pesa zikipungua watu wanaweza kuanza kufanya kazi na bei za vitu zikaanza kushuka, Je baada ya Kupunguza kwa miezi kadhaa pesa kwenye uchumi kupitia Benki kuu imesaidia bei kushuka, Nadhani bei zinazidi kuongezeka

Tangu tupate uhuru sijawahi kusikia thamani yetu ya pesa ikiimarika zidi ya dola ya kimarekani,

Tangu tupate uhuru sijawahi sikia bei za vitu ni nafuu, Kila utakaye muuliza atakuambia zamani bei zilikuwa rahisi sana, Zamani hiyo ni ipi kwa kila mtu?

Waliozaliwa 1970 wanasema zamani bei za vitu ilikuwa nafuu

Waliozaliwa 1980 wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

waliozaliwa miaka ya 2000 nao wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

Katika suala la bei ni nani mkweli na tumuamini?

Wahenga humu ndani tumewahi kununua kilo moja ya mchele kwa shilingi 10 tu yaani TZS 10 tu, Na wazee wetu wao walinunua kwa senti

Suala la uzalishaji mdogo ni Chanzo kikubwa kinachofanya thamani yetu ya pesa kuporomoka siku hadi siku, Na hili linapelekea bei za bidhaa kuongezeka bei mwaka hadi mwaka

Ni nani wa kulaumiwa kwenye uzalishaji hafifu au kidogo? Ni Raia ambao wanatumia mfumo ule ule wa jembe la mkono na Ng'ombe waliokosa Lishe au Ni sera za serikali kuhusu sekta binafsi

Wewe mwana Jamii Forum unae piga kelele kuhusu bei kupanda umewahi kufikiria kuhusu kuanza Kuongeza uzalishaji ili bei zishuke au tunasubiri tuletewe mchele wa kitumbo toka Thailand, Na tunavyozidi kuagiza tunapelekea tuitafute dola zaidi ya kimarekani na kuipa heshima hivyo kufanya thamani ya shilingi kupoteza nguvu mwaka hadi mwaka

Ushauri:
Twendeni tukachape kazi, Muda bado upo wa kurekebisha uzalishaji wetu na bei za vitu zitakaa sawa
 
Sahisha swali lako uliza kwamba ni mwaka gani kulikuwa na mzunguko wa pesa mkubwa uliofanya watu wawe na nafuu ya uwezo wa kununua vitu. (Purchasing power)

Leo hii hata sukari iuzwe shilingi 100, kama mzunguko wa pesa ni mdogo watu wataona ni bei ghali.

Kipindi cha kikwete na Mwinyi purchasing power ilikuwa kubwa.

Kwa huyu mama wacha tusome upepo kwanza ila nako mzunguko wa pesa umeanza kuongezeka, wawekezaji binafsi na wafanyabiashara wanazidi kuongezeka tofauti na hapo awamu ya vyuma vimekaza ambayo biashara nyingi zilikuwa zinafungwa, hata fastjet walisepeshwa ili wasilete ushindani kwa air tanzania.
 
Supply, demand and price,,
Kama supply ina exceed demand, lazima price itakwenda chini,,
Hivyo mchawi ni uzalishaji,,
Mwaka huu mahindi junia limeuzwa hadi 130,000,wakati kawaida huwa bei haifiki zaidi ya 70,000,
 
Wewe ni mjinga na huna akili

Mwaka 2021 mchele ulikuwa 1700 leo mchele ule ule ni 3800 kwa kilo sawa naongezeko la asilimia mia mbili

Mjinga sana we
Kulalamika bila kujua sababu ndio ujinga wenyewe

Kuwa mjinga sio kosa, Mjinga ni mtu ambaye hajafunuliwa sababu ya kinachoendelea

Je na wewe ni mjinga? La hasha wewe sio mjinga kwani una uwezo wa kulinganisha bei za mwaka huu na mwaka jana, Na mwakani utafanya kazi hiyo hiyo tena
Jiulize kwanini unanua mchele TZS 3800 kwa kilo tu mwaka 2023 na Mimi nilinunua TZS 10 kwa kilo tu

Yawezekana bila wewe kujua sababu na kufanya maamuzi utanunua TZS 10,000 kwa kilo mwaka 2025

Acha kulalamika Chukua hatua ya kuanza Kuongeza uzalishaji
 
Tatizo la bei kupanda ni upungufu wa uzalishaji au kuna pesa nyingi kwenye mfumo wetu wa uchumi?

Vijana wengi sasa wana bet, Ni nani anajishughulisha na uzalishaji Mali, Kama hakuna anayelima, Vyakula tutatoa wapi? Kila mtu ana pesa ya kubet mfukoni. Bei za vitu zitazidi kwenda juu

Kila chombo cha habari kinasema baada ya dakika 10 za kubeti tu unavuna Milioni 20, Nani atakubali kwenda Kuongeza uzalishaji kwa hamasa ya Shinda kwa kubeti, Hakuna muujiza wa bei kushuka kama kila mtu ana pesa mfukoni za haraka haraka lazima azitumie kwenye bidhaa ambazo sokoni ni chache hivyo wauzaji wanaamua kupandisha juu

Kupunguza pesa kwenye mfumo wetu yawezekana kuna msaada kidogo, Pesa zikipungua watu wanaweza kuanza kufanya kazi na bei za vitu zikaanza kushuka, Je baada ya Kupunguza kwa miezi kadhaa pesa kwenye uchumi kupitia Benki kuu imesaidia bei kushuka, Nadhani bei zinazidi kuongezeka

Tangu tupate uhuru sijawahi kusikia thamani yetu ya pesa ikiimarika zidi ya dola ya kimarekani,

Tangu tupate uhuru sijawahi sikia bei za vitu ni nafuu, Kila utakaye muuliza atakuambia zamani bei zilikuwa rahisi sana, Zamani hiyo ni ipi kwa kila mtu?

Waliozaliwa 1970 wanasema zamani bei za vitu ilikuwa nafuu

Waliozaliwa 1980 wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

waliozaliwa miaka ya 2000 nao wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

Katika suala la bei ni nani mkweli na tumuamini?

Wahenga humu ndani tumewahi kununua kilo moja ya mchele kwa shilingi 10 tu yaani TZS 10 tu, Na wazee wetu wao walinunua kwa senti

Suala la uzalishaji mdogo ni Chanzo kikubwa kinachofanya thamani yetu ya pesa kuporomoka siku hadi siku, Na hili linapelekea bei za bidhaa kuongezeka bei mwaka hadi mwaka

Ni nani wa kulaumiwa kwenye uzalishaji hafifu au kidogo? Ni Raia ambao wanatumia mfumo ule ule wa jembe la mkono na Ng'ombe waliokosa Lishe au Ni sera za serikali kuhusu sekta binafsi

Wewe mwana Jamii Forum unae piga kelele kuhusu bei kupanda umewahi kufikiria kuhusu kuanza Kuongeza uzalishaji ili bei zishuke au tunasubiri tuletewe mchele wa kitumbo toka Thailand, Na tunavyozidi kuagiza tunapelekea tuitafute dola zaidi ya kimarekani na kuipa heshima hivyo kufanya thamani ya shilingi kupoteza nguvu mwaka hadi mwaka

Ushauri:
Twendeni tukachape kazi, Muda bado upo wa kurekebisha uzalishaji wetu na bei za vitu zitakaa sawa
Akili za wana ccm bhana! Mnatengeneza wenyewe matatizo, halafu baadaye mnakuja kulaumu. Hayo makampuni ya kubet yameruhusiwa na serikali ya Chadema?

Unapotaka kila mtu akalime; halafu ukiumwa utatibiwa na nani? Mtoto wako shule atafundishwa na nani? Hao watu wakijushughulisha na kilimo, mnaanza tena kulalamikia!
 
Huna tofauti na maiti mjinga mkubwa we

Ulaaniwe
Kulalamika bila kujua sababu ndio ujinga wenyewe

Kuwa mjinga sio kosa, Mjinga ni mtu ambaye hajafunuliwa sababu ya kinachoendelea

Je na wewe ni mjinga? La hasha wewe sio mjinga kwani una uwezo wa kulinganisha bei za mwaka huu na mwaka jana, Na mwakani utafanya kazi hiyo hiyo tena
Jiulize kwanini unanua mchele TZS 3800 kwa kilo tu mwaka 2023 na Mimi nilinunua TZS 10 kwa kilo tu

Yawezekana bila wewe kujua sababu na kufanya maamuzi utanunua TZS 10,000 kwa kilo mwaka 2025

Acha kulalamika Chukua hatua ya kuanza Kuongeza uzalishaji
 
Akili za wana ccm bhana! Mnatengeneza wenyewe matatizo, halafu baadaye mnakuja kulaumu. Hayo makampuni ya kubet yameruhusiwa na serikali ya Chadema?

Unapotaka kila mtu akalime; halafu ukiumwa utatibiwa na nani? Mtoto wako shule atafundishwa na nani? Hao watu wakijushughulisha na kilimo, mnaanza tena kulalamikia!
Leo Chadema wametimiza miaka thelathini

Je kwa miaka thelathini tunapaswa kuwalaumu Chadema? au tunapaswa kujilaumu watanzania wenyewe

Bila wewe kujiunga Chadema na kuiunga mkono ingekuwepo? na wafuasi wangetoka wapi?

Kuilamu ccm sio haki, Kama watu wangeamua kutoifuata ccm ingekuwepo Leo?

Watu ndio wanapaswa kujilaumu, kuilaumu ccm ni kukosa heshima na adabu

Wananchi ndio wanaotengeneza matatizo, CCM inatumia matatizo hayo kuwaletea Maendeleo

Bei za bidhaa kupanda ni kosa la ccm,? Uzalishaji kushuka ni kosa la ccm?

Ndio maana kuna wakati wananchi waliulizwa nani kaleta tetemeko bukoba?

Je ccm iliteta tetemeko Bukoba? lakini ccm ilitumia tetemeko kuikarabati miundo mbinu
 
Huna tofauti na maiti mjinga mkubwa we

Ulaaniwe
Mara nyingi watu mnaokosa hoja na kushindwa kujadili mambo huwa mnaishia kupanic na kukasirika

Mtu anayejiamini na anayeweza kuongoza familia lazima awe na busara na hekima

Sasa kama una panic hapa JF, Unaweza kuongea mbele za watoto wako au familia,

Nahisi ukiombwa pesa ya matumizi na mkeo au watoto unaishia kutoa mipasho na Ngonjera
 
Wewe tahira usiyejua hata gharama za maisha nitaongea nini na wewe

Maiti inayotembea wewe
Mara nyingi watu mnaokosa hoja na kushindwa kujadili mambo huwa mnaishia kupanic na kukasirika

Mtu anayejiamini na anayeweza kuongoza familia lazima awe na busara na hekima

Sasa kama una panic hapa JF, Unaweza kuongea mbele za watoto wako au familia,

Nahisi ukiombwa pesa ya matumizi na mkeo au watoto unaishia kutoa mipasho na Ngonjera
 
Wewe tahira usiyejua hata gharama za maisha nitaongea nini na wewe

Maiti inayotembea wewe
Usipanic kiongozi, Jikite kwenye hoja

Hoja hujibiwa kwa hoja, Tuliza akili, Hapa ni JF sio facebook

Jibu hoja

Gharama za maisha unalinganisha na za jirani?

Tambua kila mtu ana gharama zake za maisha kulingana na kipato chake

Kitendo cha wewe kutaka kila mtu aseme bei za mchele zipo juu sio sahihi

Wakati wewe unanua mchele 1800 kuna watu walikuwa wananunua kwa dola 3 kama Shs 6,000 hivi

Au unataka uuziwe chenga za mchele?

Usipende kujilinganisha maisha na mtu Halafu unasema bei zipo juu,

Hizo bei na gharama za maisha ziliwahi kushuka wakati gani hapa Tanzania?
 
Tatizo la bei kupanda ni upungufu wa uzalishaji au kuna pesa nyingi kwenye mfumo wetu wa uchumi?

Vijana wengi sasa wana bet, Ni nani anajishughulisha na uzalishaji Mali, Kama hakuna anayelima, Vyakula tutatoa wapi? Kila mtu ana pesa ya kubet mfukoni. Bei za vitu zitazidi kwenda juu

Kila chombo cha habari kinasema baada ya dakika 10 za kubeti tu unavuna Milioni 20, Nani atakubali kwenda Kuongeza uzalishaji kwa hamasa ya Shinda kwa kubeti, Hakuna muujiza wa bei kushuka kama kila mtu ana pesa mfukoni za haraka haraka lazima azitumie kwenye bidhaa ambazo sokoni ni chache hivyo wauzaji wanaamua kupandisha juu

Kupunguza pesa kwenye mfumo wetu yawezekana kuna msaada kidogo, Pesa zikipungua watu wanaweza kuanza kufanya kazi na bei za vitu zikaanza kushuka, Je baada ya Kupunguza kwa miezi kadhaa pesa kwenye uchumi kupitia Benki kuu imesaidia bei kushuka, Nadhani bei zinazidi kuongezeka

Tangu tupate uhuru sijawahi kusikia thamani yetu ya pesa ikiimarika zidi ya dola ya kimarekani,

Tangu tupate uhuru sijawahi sikia bei za vitu ni nafuu, Kila utakaye muuliza atakuambia zamani bei zilikuwa rahisi sana, Zamani hiyo ni ipi kwa kila mtu?

Waliozaliwa 1970 wanasema zamani bei za vitu ilikuwa nafuu

Waliozaliwa 1980 wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

waliozaliwa miaka ya 2000 nao wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

Katika suala la bei ni nani mkweli na tumuamini?

Wahenga humu ndani tumewahi kununua kilo moja ya mchele kwa shilingi 10 tu yaani TZS 10 tu, Na wazee wetu wao walinunua kwa senti

Suala la uzalishaji mdogo ni Chanzo kikubwa kinachofanya thamani yetu ya pesa kuporomoka siku hadi siku, Na hili linapelekea bei za bidhaa kuongezeka bei mwaka hadi mwaka

Ni nani wa kulaumiwa kwenye uzalishaji hafifu au kidogo? Ni Raia ambao wanatumia mfumo ule ule wa jembe la mkono na Ng'ombe waliokosa Lishe au Ni sera za serikali kuhusu sekta binafsi

Wewe mwana Jamii Forum unae piga kelele kuhusu bei kupanda umewahi kufikiria kuhusu kuanza Kuongeza uzalishaji ili bei zishuke au tunasubiri tuletewe mchele wa kitumbo toka Thailand, Na tunavyozidi kuagiza tunapelekea tuitafute dola zaidi ya kimarekani na kuipa heshima hivyo kufanya thamani ya shilingi kupoteza nguvu mwaka hadi mwaka

Ushauri:
Twendeni tukachape kazi, Muda bado upo wa kurekebisha uzalishaji wetu na bei za vitu zitakaa sawa
Hapo naona hoja yako kubwa ni swala la vijana kubeti,,,, ulichosahau ni kuwa hata wazee wanabeti!!
Kubeti hakumzuii mtu kufanya kazi ni sawa na kulalamika watu wanaoshinda kwenye majumba ya ibada!!
Ngoja nikukumbushe kitu , hakuna jambo jipya na yote ni kujilisha upepo, usiseme wakati huu ni bora kuliko...... kama ni msomaji wa maandiko!!!
Yaliyoko yalishakuwako na yataendelea kuwako!!! Vipi ukienda nchi zenye maendeleo ambako matangazo yako kwenye tv za mitaani?!
Cjajua una umri gani , ila usitamani uishi miaka ya 80+ mahtaji kwa foleni , unajua ni kwa nn?! Ni hii mitazamo ya kijinga ilitufungia kama mabumunda!!
Kusikiliza redio kwa barozi ndo unahtaji tulejee huko?!, kupata mche wa sabuni unajua kimbembe chake kilikuwaje!!!
Hebu ishhini kwenye wakati wenu na acheni maneno ya kujikatia tamaa eti bidhaa cjui nn,,,, labda nikuulize wewe unanini cha kuwafanya vijana wenzako wafate nyayo?!
Hivi tukifikia kwenye levo za madanguro kuwa na mabango kwenye screen za mitaani c ndo utakuja na libango kama draja la mkapa?!
Ishi katika wakati wako!!!!
 
Tatizo la bei kupanda ni upungufu wa uzalishaji au kuna pesa nyingi kwenye mfumo wetu wa uchumi?

Vijana wengi sasa wana bet, Ni nani anajishughulisha na uzalishaji Mali, Kama hakuna anayelima, Vyakula tutatoa wapi? Kila mtu ana pesa ya kubet mfukoni. Bei za vitu zitazidi kwenda juu

Kila chombo cha habari kinasema baada ya dakika 10 za kubeti tu unavuna Milioni 20, Nani atakubali kwenda Kuongeza uzalishaji kwa hamasa ya Shinda kwa kubeti, Hakuna muujiza wa bei kushuka kama kila mtu ana pesa mfukoni za haraka haraka lazima azitumie kwenye bidhaa ambazo sokoni ni chache hivyo wauzaji wanaamua kupandisha juu

Kupunguza pesa kwenye mfumo wetu yawezekana kuna msaada kidogo, Pesa zikipungua watu wanaweza kuanza kufanya kazi na bei za vitu zikaanza kushuka, Je baada ya Kupunguza kwa miezi kadhaa pesa kwenye uchumi kupitia Benki kuu imesaidia bei kushuka, Nadhani bei zinazidi kuongezeka

Tangu tupate uhuru sijawahi kusikia thamani yetu ya pesa ikiimarika zidi ya dola ya kimarekani,

Tangu tupate uhuru sijawahi sikia bei za vitu ni nafuu, Kila utakaye muuliza atakuambia zamani bei zilikuwa rahisi sana, Zamani hiyo ni ipi kwa kila mtu?

Waliozaliwa 1970 wanasema zamani bei za vitu ilikuwa nafuu

Waliozaliwa 1980 wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

waliozaliwa miaka ya 2000 nao wanasema zamani bei ya vitu ilikuwa nafuu

Katika suala la bei ni nani mkweli na tumuamini?

Wahenga humu ndani tumewahi kununua kilo moja ya mchele kwa shilingi 10 tu yaani TZS 10 tu, Na wazee wetu wao walinunua kwa senti

Suala la uzalishaji mdogo ni Chanzo kikubwa kinachofanya thamani yetu ya pesa kuporomoka siku hadi siku, Na hili linapelekea bei za bidhaa kuongezeka bei mwaka hadi mwaka

Ni nani wa kulaumiwa kwenye uzalishaji hafifu au kidogo? Ni Raia ambao wanatumia mfumo ule ule wa jembe la mkono na Ng'ombe waliokosa Lishe au Ni sera za serikali kuhusu sekta binafsi

Wewe mwana Jamii Forum unae piga kelele kuhusu bei kupanda umewahi kufikiria kuhusu kuanza Kuongeza uzalishaji ili bei zishuke au tunasubiri tuletewe mchele wa kitumbo toka Thailand, Na tunavyozidi kuagiza tunapelekea tuitafute dola zaidi ya kimarekani na kuipa heshima hivyo kufanya thamani ya shilingi kupoteza nguvu mwaka hadi mwaka

Ushauri:
Twendeni tukachape kazi, Muda bado upo wa kurekebisha uzalishaji wetu na bei za vitu zitakaa sawa
Niseme tu wewe ni mpumbavu kabla sijakupa ushahidi kidogo tu.

Mwaka 1997 mchele uliuzwa sh.100 Mwanza mjini wakati huo kima cha chini cha mshahara ni elf 30.Kwa hiyo mtu mwenye kima cha chini angeweza kununua mchele kilo 300.
Leo bei ya mchele ni sh.3500.Mtu akihitaji kilo 300 atahitani sh.Milioni na elfu 50.
Kima cha chini kwa sasa ni Laki 3 tu.

Mwaka jana muda kama huu mchele ulikuwa sh 2000,Leo ni 3500.
Hilo kwako bado huoni kama ni tatizo?

Ningekupa mifano mingi ila nazingatia sentensi yangu ya kwanza

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kulalamika bila kujua sababu ndio ujinga wenyewe

Kuwa mjinga sio kosa, Mjinga ni mtu ambaye hajafunuliwa sababu ya kinachoendelea

Je na wewe ni mjinga? La hasha wewe sio mjinga kwani una uwezo wa kulinganisha bei za mwaka huu na mwaka jana, Na mwakani utafanya kazi hiyo hiyo tena
Jiulize kwanini unanua mchele TZS 3800 kwa kilo tu mwaka 2023 na Mimi nilinunua TZS 10 kwa kilo tu

Yawezekana bila wewe kujua sababu na kufanya maamuzi utanunua TZS 10,000 kwa kilo mwaka 2025

Acha kulalamika Chukua hatua ya kuanza Kuongeza uzalishaji
ya nyinyi kununua mchele kilo shilingi 10 uzalishaji ulikuwa ni mkubwa kuliko sasa!?
 
Tanzania ina eneo kubwa la Ardhi harafu zimejaa bicon za Jeshi tuu hakuna kile Kilimo kikubwa haswa na tupo busy kuweka Kodi kwenye matrekta hatuoni kufanya hivyo tunakwamisha kilimo Ardhi kubwa Watanzania wa kulima wapo ila vifaa vya kulima kisasa vimewekewa password tutabaki kulia kila mwaka kumbe pana watu ndio wanakwamisha maendeleo ya Kilimo bila kujijua...
 
Back
Top Bottom