Ni muda wa Tanzania kujenga small satellite launch pad

Ni muda wa Tanzania kujenga small satellite launch pad

Kwanza, inaitwa rocket launch pad sio satellite launch pad kwasababu huwezi ku-launch satellite moja kwa moja kutokea ardhini.

Pili kwa matatizo ya kichumi, kijamii na kisiasa tuliyo nayo kwa sasa, hiyo project haiwezekani.

Tatu, Tanzania haina reputation yoyote ile kwenye hizo teknolojia, hivyo uwezekano wa sisi kufanya hiyo biashara na kufaidika ni almost zero. Kampuni zilizoendelea tayari zinachukua wateja wote.

Nne, gharama ulizoweka hapo sio realistic, unahitaji wataalamu kwanza, tafiti za kutosha pamoja mambo mengine mengi ambayo yanaongeza gharama zaidi.

Tano, sio busara kufanya mradi kama huo kwa nchi ambayo raia wake wengi bado wana maisha duni sana, hiyo pesa ni bora ipelekwe kwenye sekta nyingine muhimu za kijamii kama afya, elimu na ujenzi wa miundombinu mbalimbali ambayo hatuna.
 
Kwanza, inaitwa rocket launch pad sio satellite launch pad kwasababu huwezi ku-launch satellite moja kwa moja kutokea ardhini.

Pili kwa matatizo ya kichumi, kijamii na kisiasa tuliyo nayo kwa sasa, hiyo project haiwezekani.

Tatu, Tanzania haina reputation yoyote ile kwenye hizo teknolojia, hivyo uwezekano wa sisi kufanya hiyo biashara na kufaidika ni almost zero. Kampuni zilizoendelea tayari zinachukua wateja wote.

Nne, gharama ulizoweka hapo sio realistic, unahitaji wataalamu kwanza, tafiti za kutosha pamoja mambo mengine mengi ambayo yanaongeza gharama zaidi.

Tano, sio busara kufanya mradi kama huo kwa nchi ambayo raia wake wengi bado wana maisha duni sana, hiyo pesa ni bora ipelekwe kwenye sekta nyingine muhimu za kijamii kama afya, elimu na ujenzi wa miundombinu mbalimbali ambayo hatuna.
Unajenga viwanja vya billion 200+ vya mpira kwa ajili ya afcon alafu mradi wa billion 20 au 30 wa satellite launch pad unaona ni ghali ila afrika aliyetuloga ameshakufa
 
Haupo serious! Umesoma na kuelewa vizuri nilichokiandika?
Gharama ya kujenga satellite launch pad ndogo kwa usd million 10 inatosha ambayo ni sawa kama billion 25 ukiangalia ni mradi ambao tunaumudu

Afrika hatuwezi endelea sababu kwenye fikra zetu kuna mambo tumeaminishwa hatuwezi ila ukiangalia gharama tunazimudu

Wakati elon musk anataka kuanza kutengeneza rocket alipitia wakati mgumu sana ila alichofanya alienda kwenye viwanda vya rocket akapiga gharama za kuzalisha rocket sio kubwa kama zinavyouzwa na watengenezaji akaamua kutengeneza leo hii space x ni moja ya kampuni kubwa ya kutengeneza rocket

Kwenye maisha usitegemee mtu akuambie unaweza ataendelea kukuambia huwezi ilahali unaweza
 
For what? Unadhsni 10b inaokotwa? I am not against it but kuna vipaombele vya kusolve kwanza
kiwanja cha arusha kimegharimu sh billion 300 hapo hujaongelea maboresho ya viwanja vingine kama taifa, serikali imeweka billion 700+ kwa ajili ya el nino sasa billion 10 unaona ni nyingi
Tatizo la afrika ni vipaumbele na kibaya zaidi wananchi wapo gizani
 
Afrika hatuwezi endelea sababu kwenye fikra zetu kuna mambo tumeaminishwa hatuwezi ila ukiangalia gharama tunazimudu
Yaani, kwa kuwa "tunaweza kumudu gharama" ndo iwe sababu ya sisi kufanya huo mradi!

Tuache matatizo yanayotuathiri moja kwa moja kila siku twende kufanya miradi ambayo haina msaada wowote ule mkubwa kwetu‽
 
Yaani, kwa kuwa "tunaweza kumudu gharama" ndo iwe sababu ya sisi kufanya huo mradi!

Tuache matatizo yanayotuathiri moja kwa moja kila siku twende kufanya miradi ambayo haina msaada wowote ule mkubwa kwetu‽
Serikali imetenge billion 700 kwa ajili ya el nino hamlalamiki ila billion 20 kwa ajili sattellite launch pad unaona ni matumizi mabaya ya fedha na haina msaada ila afrika pagumu sana
 
Bajeti iliyopo sasa ni Tsh 700B+ za kujikinga na mvua za El mino, baada ya hapo tutafanyia kazi wazo lako 😎
 
Ukiangalia gharama za kutengeneza small satellite launch pad ina range kwa usd million 5 au 10 sawa na tsh billion 10 au 20

Kwa tsh billion 10 au 20 tunajenga multi pad satellite launch

Faida za small satellite launch pad ni kama zifuatazo
  1. Itatumika kwenye scientific study kama weather forecast
  2. Itatumiwa na makampuni kurusha satellite kwenye space na kuingizia nchi mapato
  3. Itatumika kwenye environment monitoring na kuondoa utegemezi wa nchi nyingine kwenye environment monitoring
  4. Itakuza field ya space exploration afrika kwa sababu kwa sasahivi iko dominated na nchi zilizoendela
  5. Itakuza viwanda vya kuzalisha satellite Tanzania
  6. Hii itafungua milango ya kujenga complex rocket launch pad

Tanzania tunaweza kabisa kujenga small satellite launch pad

Kama elon musk amelaunch satellite zaidi ya 1000 kwa Tanzania tushindwe i think huu ni mda wakufanya hivyo sababu gharama tunaweza zimudu
Hongera Sana kwa mawazo mazuri,Je kuna wajuzi wa field hiyo wapo hapa nchini ?
Nadhani ni vyema wakatambulika.
 
Nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri
Kama serikali inajenga kiwanja cha arusha kwa billion almost 300 alafu unaona ni sawa na mda huo huo unaona ni matumizi mabaya ya fedha kwa kujenga sattelite launch ya billion 20 siwa basi wewe unatatizo kubwa sana la kifikra
 
Back
Top Bottom