mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Kila jambo na wakati wake. Nauona upinzani ukizidi kusinyaa na kukosa ubunifu kila kukicha. Mapungufu haya yanafichwa chini ya kisingizio cha ubanwaji wa democrasia, Pandikizi wa CCM, na sababu lukuki.
Kwa mtazamo, Upinzani unapaswa kuwaondoa hawa wazee kwa uhalili mstari wa mbele.
Wachukuliwe vijana machachali mstari wa nyuma wachukue nafasi zao nao wabaki kama washauri au watazamaji. Vijana waliojaribiwa na kuonekana wanafaa, wenye ubunifu, wenye changamoto chanya wasimame mstari wa mbele .
Mbadiliko haya yanapaswa kufanyika sio zaidi ya mwaka 2018.
Kwa mtazamo, Upinzani unapaswa kuwaondoa hawa wazee kwa uhalili mstari wa mbele.
Wachukuliwe vijana machachali mstari wa nyuma wachukue nafasi zao nao wabaki kama washauri au watazamaji. Vijana waliojaribiwa na kuonekana wanafaa, wenye ubunifu, wenye changamoto chanya wasimame mstari wa mbele .
Mbadiliko haya yanapaswa kufanyika sio zaidi ya mwaka 2018.