Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Mchana mara tu punde unaporudi kazini au kwenye mishe mishe zako? Jioni baada ya kupumzika?
Mara tu baada ya kula chakula cha usiku? mara tu baada ya kuingia kitandani? Usiku wa manane? Au alfajiri tu punde unapoamka?
Ni muda gani unainjoi kukutana kimwili na mwenza wako?
Binafsi ni ile alfajiri, na punde tu baada ya kuingia kitandani huwa nainjoi sana bila kusahau ule muda ninaorudi tu mishe mishe nikishapumzika kidogo lazima nipoe kwenye papuchi ya mwenza wangu,
Hiyo ni lazima kwa sababu ndio huwa inaniweka fresh na kunitoa mawazo na changamoto za kazi ya kutwa nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara tu baada ya kula chakula cha usiku? mara tu baada ya kuingia kitandani? Usiku wa manane? Au alfajiri tu punde unapoamka?
Ni muda gani unainjoi kukutana kimwili na mwenza wako?
Binafsi ni ile alfajiri, na punde tu baada ya kuingia kitandani huwa nainjoi sana bila kusahau ule muda ninaorudi tu mishe mishe nikishapumzika kidogo lazima nipoe kwenye papuchi ya mwenza wangu,
Hiyo ni lazima kwa sababu ndio huwa inaniweka fresh na kunitoa mawazo na changamoto za kazi ya kutwa nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app