ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Wacha tuisome tu, hakuna namnaBill hiyo inaenda kuua wastaafu.
1. Mafao utalipwa 38% na 62% utakuwa unalipwa monthly. Mfano kama ilikuwa ulipwe milioni 100 maana yake kwa mswada mpya utalipwa pension ya mkupuo 38 milioni halafu milioni 62 ulipwa kila mwezi. Ubaya wa hili siku ukifa malipo kila mwezi hukoma. Hivyo hela nyingi zitabaki kwenye mifuko maana rekodi inaonyesha wastaafu wengi hawaishi muda mrefu na hasa ukizingatia mafao yatapungua.
2. Mume akifa Mke na wategemezi watahudumiwa miaka 3 tu kisha huduma itakoma.
3. March 2018 mifuko itaunganishwa kubaki mifuko 2 tu.
4. April 2018 sheria itaanza kutumika.
Kwa ufupi muswada huu utaumiza watumishi wote. Wabunge wetu wasipoliona hili kuwasemea watumishi basi tutaumia.
Copy and Paste