Ni msukumo gani uliowapelekea hawa wakali wa hip hop kutoa nyimbo na kuipa tittle WHAT IF I WAS GAY?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,045
10,476
Nyimbo inaitwa what if I was gay kazi ya Eminem akishirikiana na Joyner Lucas ni kazi iliyotoka mwaka 2019.

Uhalisia ni kuwa hip hop ni miongoni mwa sign za umwamba(kiumeni) na inaonekana ni muziki wenye potential kutokana na lyrics zake kubeba ukweli na kusimama kama mkombozi wa kifikra kwa jamii.

Mara nyingi kusikia ushoga kwenye rap ni nadra sana ukilinganisha na kwenye aina nyingine za miziki kama taarabu na bongoflava.

Swali nini kiliwakuta Eminem na mwenzake Joyner Lucas kukaa chini na kuanza kuandika lyrics za wimbo ambao unaitwa what if I was gay?

Kibongo tungesema Fid q na Nikki mbishi watunge nyimbo ambayo itaitwa kama ningekuwa shoga.

From northern part of Tanzania.
 
Ukweli mchungu Ni Kuwa Eminem kashakuwa washed Na irrelevant kwahyo kabaki Kuwa trend rider a.k.a dick rider....true emcees kina Jermaine Cole Na KDot hawawezi kutuletea upuuzi kama Huo.
 
Ukweli mchungu Ni Kuwa Eminem kashakuwa washed Na irrelevant kwahyo kabaki Kuwa trend rider a.k.a dick rider....true emcees kina Jermaine Cole Na KDot hawawezi kutuletea upuuzi kama Huo.
Na ndio maana hata ngoma yenyewe haikuenda
 
Mkuu kwanza nashkuru kwa tag, japo nilikuja muda fulani ila sikuwa katika mazingira rafiki ya kuweza kujadili japo kwa uchache juu ya mada yako

Hii ngoma ilivyotolewa tu mwaka juzi mi sikuipa hata time ya kuiskiliza kutokana na title yake na jinsi joyner alivyo pick side ya perspective ya gay

Eminem hapo kasimama kama mkristo ambaye hakubaliani na ushoga katika hali isiyotarajika inapelekea joyner kujiua na pia eminem anaonekana kujutia sana na mwisho wa siku inakuja kufahamika kumbe hata naye eminem aliyekua aki-pretend kuwa mkristo ni shoga pia

Maoni yangu naona hapa hawa jamaa wanawajengea confidence mashoga ambao wamekua depressed baada ya kuwa isolated kwenye jamii kua wasiwaze kuchukua maamuzi ya kujitoa uhai wao kwa maana sio wao tu ambao ni mashoga, wapo wengi hadi wanaosali ila wanajificha tu hawajitangazi

Style ya ujumbe iliyotumika ku delivery hapa ni kama kwenye I'm sorry ya joyner
 
Nyimbo inaitwa what if I was gay kazi ya Eminem akishirikiana na Joyner Lucas ni kazi iliyotoka mwaka 2019.

Uhalisia ni kuwa hip hop ni miongoni mwa sign za umwamba(kiumeni) na inaonekana ni muziki wenye potential kutokana na lyrics zake kubeba ukweli na kusimama kama mkombozi wa kifikra kwa jamii.

Mara nyingi kusikia ushoga kwenye rap ni nadra sana ukilinganisha na kwenye aina nyingine za miziki kama taarabu na bongoflava.

Swali nini kiliwakuta Eminem na mwenzake Joyner Lucas kukaa chini na kuanza kuandika lyrics za wimbo ambao unaitwa what if I was gay?

Kibongo tungesema Fid q na Nikki mbishi watunge nyimbo

Nyimbo inaitwa what if I was gay kazi ya Eminem akishirikiana na Joyner Lucas ni kazi iliyotoka mwaka 2019.

Uhalisia ni kuwa hip hop ni miongoni mwa sign za umwamba(kiumeni) na inaonekana ni muziki wenye potential kutokana na lyrics zake kubeba ukweli na kusimama kama mkombozi wa kifikra kwa jamii.

Mara nyingi kusikia ushoga kwenye rap ni nadra sana ukilinganisha na kwenye aina nyingine za miziki kama taarabu na bongoflava.

Swali nini kiliwakuta Eminem na mwenzake Joyner Lucas kukaa chini na kuanza kuandika lyrics za wimbo ambao unaitwa what if I was gay?

Kibongo tungesema Fid q na Nikki mbishi watunge nyimbo ambayo itaitwa kama ningekuwa shoga.

From northern part of Tanzania.
Huyu kuku Ana mistari ya kingese sana msikilize kwenye devils work
 
Mkuu kwanza nashkuru kwa tag, japo nilikuja muda fulani ila sikuwa katika mazingira rafiki ya kuweza kujadili japo kwa uchache juu ya mada yako

Hii ngoma ilivyotolewa tu mwaka juzi mi sikuipa hata time ya kuiskiliza kutokana na title yake na jinsi joyner alivyo pick side ya perspective ya gay

Eminem hapo kasimama kama mkristo ambaye hakubaliani na ushoga katika hali isiyotarajika inapelekea joyner kujiua na pia eminem anaonekana kujutia sana na mwisho wa siku inakuja kufahamika kumbe hata naye eminem aliyekua aki-pretend kuwa mkristo ni shoga pia

Maoni yangu naona hapa hawa jamaa wanawajengea confidence mashoga ambao wamekua depressed baada ya kuwa isolated kwenye jamii kua wasiwaze kuchukua maamuzi ya kujitoa uhai wao kwa maana sio wao tu ambao ni mashoga, wapo wengi hadi wanaosali ila wanajificha tu hawajitangazi

Style ya ujumbe iliyotumika ku delivery hapa ni kama kwenye I'm sorry ya joyner
Shukran mkuu Scars kwa ufafanuzi kwangu huu naona ni mwendelezo wa kuendelea kutuaminisha kuwa masuala ya upunga ni sawa.

Wenzetu wameamua kutumia soft power kupitia watu maarufu, sinema na muziki kupromote wanachotaka na mpaka kufikia sasa Trend inaonyesha kwamba walichopanga kinaenda kufanikiwa.
 
Back
Top Bottom