Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

Malalamiko haya yanafumbiwa macho kila kukicha. Kwa nini hakuna suluhisho mpaka hivi sasa?

Mimi ni mu-RC ila kiukweli hizi jumuiya hazijafit objectives ya kuanzishwa kwake.

Nina imani viongozi wetu ni wasomi mtalifanyia kazi hili jambo. MALALAMIKO NI MENGI
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Namba nne ni muhimu sana kwa kukua kwa Jumuia yenye afya, upendo na ushirikiano wa karibu, kama umeshindwa hilo basi wewe hufai na ni wakupigwa mawe.
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Kiufupi maelezo yote hayo naamin ni michango tu ndio shida yako mengine umeongezea ili upate wanaokuunga mkono
 
Tuko wengi, ulichoandika kina ukweli 100% , nina miaka 3 sasa cjaenda huko jumuiya na sitaki waje kwangu
Kwa kweli sipendii kbsaaa jumuiyaa mimii najilazimishaaa tuuu...ukiiendaa kusemana tuu na majunguu...wanatuona sisi tusiendaa kwenye jumuiyaa Kama tuna dhambi mnoooo...unafiki tuu umewajaaaa..na kuchunguza maishaaaa
 
Kama hukubaliana na jamii husika na miongozo yake ni vyema kusepa.
Hapa naona ni ukengeukwaji Ru na ujuaji usio maana.

Kina masanjan the likes wao wanakwambia feel free muendehuko
 
Mkuu hivi nitumie lugha ipi uelewa komenti yangu rahisi kuelezeka..?
Nachopinga hapa ni utumwa wa kidini yapo mambo naturally tayari tumeshakuwa na utumwa nayo!.. lakini Sasa imekuwa too much hata ktk vitu vya mtu kujitoa kirahisi bado anasumbuka navyo!.
Naona umekubali kuwa hakuna asiye mtumwa. Kwahiyo unachopinga wewe ni utumwa wa dini tu?? Kwanza dini ni nini? Maana isije ukawa unazungumza kitu hukijui maana yake.
 
Kuna mengine nimeacha au yananipa ukakasi mf kitubio, kuabudu msalaba nk by the way sina mpango kuhama RC
Nimecheka mpaka basi Mkuu. Wewe una Miaka Mitatu tu hujaenda? Mimi hata Sikumbuki mara ya mwisho kutokwenda ilikuwa ni lini ila nadhani ni Awamu ya mwisho ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.

Na hakuna Kauli iliyoniumiza na Kunipandisha Hasira zangu Kali Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE kama Kutishiwa na Viongozi wa Jumuiya yangu ya Katoliki kuwa Nikifa sitoombewa utadhani wamehakikishdongoni.
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Kaka huu uzi kwa namna moja ama nyingne umenigusaa yaani hizi nymba za ibada Mungu anawaona watumishi jaman yaani kuna mda brother nawaza nisitoe sadaka nikamtafte tu maskini /asiye jiweza ni mpe tu iyoo sadakaa ila siyo kutoa eneo usikaa
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Jamani hapa mada ni kwamba Popoma alizaliwa Agha Khan na sio kuhusu Jumuiya so mjikite katika kujadili ishu ya popoma kuzaliwa Agha Khan.

Naanza kujadili:

KWA mwandiko huu huwezi kuwa umezaliwa Agha Khan labda Agha Khan ya Bunda mjini.


GENTAMYCINE ndio Mtanzania pekee ambae amefika Kawe bila kufika Dar es salaam.

Ugonjwa ulio nao mkuu alie kuroga ni yule aliye waroga wagalatia ambae mpaka sasa hajulikani ni nani.


U live in denial.

Hutaki kabisa kujikubali kwamba wewe ni bushman ambae hujawahi kukanyaga darusalama.


Yani popoma upo radhi uanzishe uzi ukisema uliwahi kubakwa kariakoo mwaka 93 ILI uonekane wewe umewahi kufika dar?

Mbona Hermonize katoka kwao Mtwara na ana heshimika mjini Daslamu?
Jikubali mkuu.

Nyerere alitoka Butiama na aliheshimika Tanzania nzima.
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Gentamycine ahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elewa miaka ya nyuma kanisa lilikuwa almost fully supported na wazungu sasa mambo yamebadilika mambo yote yanayofanyika lazima pesa itoke kwa waumini.
Kwa hiyo kama hutaki kuchangia mambo ya kanisa unataka nani atoe pesa zake kwa ajili yako?
Nakushauri nenda Mombasa kuna maisha ya bure bure hakuna atakaye kuuliza wewe kutoa pesa yako kamwe.
Safi. Tunajenga sana nyumba za ibada siku hizi kwa michango yetu kuliko zamani tulikuwa inategemea Kazungu. Sasa hivi shule na vyuo vinaongezeka
 
Utoto bado mwingi sana ...una ratiba ya kwenda kanisani hapo hapo una ratiba ya kugonga demu

No wonder huwezi jua umuhimu wa JNNK
Ameshasema hajawahi tena kwenda jumuiya miaka mingapi sijui. Sisi tuna jumuiya yetu huku tumeshamaliza kujenga kanisa kubwa sana bila kutegemea mzungu. Sasa hivi tunaanza shule ya msingi then sekondari. Baadae mtoto wa gyntamicin atataka mtoto wake aje asome su mjukuu wake
 
Back
Top Bottom