Mwagito84
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 235
- 705
Binafsi mkasa mbashara kabisa wa kimapenzi ambao unaishi na mimi na kamwe siwezi kuusahau kwani Moyo bado unavuja damu. Ilikiwa April 17 mvua za vuli zikielekea kukoma huko Iringa basi kuna manzi mmoja moto wa kuotea mbali nilikuwa nampenda kinyama. Nikawa nampigia misele kimyakimya na sikutaka mtu yoyote ajua kwani sikuwa na hakika kama atanikubalia. Kimsingi sikuwa nimewahi mtamkia ila nilikuwa namvutia kasi kwa mwendo wa kobe. Siku moja manzi kaja room hata dakika 10 hazijaisha akaja jamaa yangu kunitembelea nilipiga naye O-level, mwanangu sana enzi zile za secondary. Hivyo nikawa na wageni 2 at once. Nikaona isiwe hatari niwachekie soda kwa mangi mtaa wa pili. Ile nimetoka tu sms ikaingia toka kwa jamaa......Oyaaa hii pisi yako mzazi? Mi nikasema NO.....just friend. Bwanabwana ile nimenunua mazaga nataka nigeuke toka kwa Mangi nakuta test tena toka kwa jamaa......Oyaaa kausha kwanza namuimbisha huyu demu anaelekea kabisa. Kilambo cha soda kilinipokonyoka, niliishiwa nguvu. Mwili ulinitetema. Nikamwambia kweli? Jamaa akasema uchune kwanza jomba mi namla huyu manzi kalegea kabisa na lita nishapiga.
Basi nikawa sina namna jamaa akagonga. Sikurudi hadi baada ya saa hivi kuja nakuta jamaa katembea anasema mwanangu nimemla huyo dogo. Pembeni demu kalala usingizi wa pono na kichwani timtimu. Alivyoamka sikusema chochote nikaaachana na mpango huo hadi leo hii. ILA MOYO UMELEMAA HADI LEO na sidhani kama CCRBT wanaweza nifanyia tiba.
Kwa sasa mimi ni mstaafu wa mambo ya mapenzi nikiishi kijijini niliko zaliwa
Idodi-Iringa
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nikawa sina namna jamaa akagonga. Sikurudi hadi baada ya saa hivi kuja nakuta jamaa katembea anasema mwanangu nimemla huyo dogo. Pembeni demu kalala usingizi wa pono na kichwani timtimu. Alivyoamka sikusema chochote nikaaachana na mpango huo hadi leo hii. ILA MOYO UMELEMAA HADI LEO na sidhani kama CCRBT wanaweza nifanyia tiba.
Kwa sasa mimi ni mstaafu wa mambo ya mapenzi nikiishi kijijini niliko zaliwa
Idodi-Iringa
Sent using Jamii Forums mobile app