Ni miraji Kikwete au Said Kubenea, Chalinze?

Ni miraji Kikwete au Said Kubenea, Chalinze?

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,378
Wakuu habari za usiku
natumaini ni wazima back to the topic niko hapa jimboni chalinze kama tunavyojua ni jimbo la uchaguzi watu wengi wanaonekana kutokufurahishwa na uamuzi wa chama cha mapinduzi kumpitisha prince riz one kugombea ubunge wengi wanalalamika ahadi alizozitoa baba yake alipokuwa mbunge hakuzitimiza na hata walipoamua kumuunga mkono kwenye kinyanganyiro cha urais aliishia kuwalekeza je huyu mtoto atatusaidia nini?
Masikio na macho yote ya wana chalinze tumeyahamishia chadema kama wakimsimamisha mtu mzuri basi tutamuunga mkono
hatahivyo kuna tetesi zinazosambaa kwa kasi sana kuwa mtoto wa rais miraji kikwete anatarajia kuchukua fomu ya kugombea kupitia chadema (miraji amekuwa haelewani na riz wala baba yake na kwa wanaomfahamu hawatashangaa kusikia hili)
pia mkurugenzi wa ----------- said kubenea naye ameonesha nia ya kugombea kupitia chadema

nimeongea na kiongozi wa chadema chalinze akaniambia wawili hao wanatarajia kuchukua fomu mapema wiki hii
ninauhakika kura za maoni zitakuwa na ushindani sana hasa kwa kubenea na miraji
JE NI MIRAJI AU KUBENEA CHALINZE?
 
Miraji atajitoa baadae then Riz ashinde bila kuwa na mpinzani, ni bora Kubenea. Hivyo jina lake likatwe mapema kwa MAKUSUDI makubwa akichukua fomu.
 
ibaki hivi hivi tetesi sidhani kama litatokea hili..la miraji kikwete kuchukua fomu..kubenea tick
 
yupo mwingine anatajwa sana hapo CHALINZE anaitwa YERICKO NYERERE ! KAZI IPO .
 
Tunafahamu BAVICHA kuna viwanda vya kuzalisha majungu, vitina na ulaghai kama ilivyo misingi ya CHADEMA. Hili andiko lako halihitaji hata kutumia fikra zinazotumia 3D katika kutafakari.

Hata mkiongeza uzalishaji w majungu, fitina na ulaghai hamuwezi kuitingisha Chalinze kisiasa.

Jiandaeni kupata kipigo cha kisiasa kwanza Kalenga halafu ndiyo muanze kujiandaa kisaikologia pale sunami ya kisiasa ya Chalinze itakapowafika.

CCM ni sera, CCM ni Ilani ya uchaguzi na CCM ni ushindi.

Jaribu kuangalia matokeo ya chaguzi za ubunge za 2005 na 2010, ndiyo upate mwerekeo wa kile kilicho mbioni kuwapata.

CHADEMA na Kubenea ni ndoa takatifu ya kishetani kwa sababu wote wanaishi katika misingi inayofungamana ambayo niya majungu, fitina na ulaghai.
 
Tunafahamu BAVICHA kuna viwanda vya kuzalisha majungu, vitina na ulaghai kama ilivyo misingi ya CHADEMA. Hili andiko lako halihitaji hata kutumia fikra zinazotumia 3D katika kutafakari.

Hata mkiongeza uzalishaji w majungu, fitina na ulaghai hamuwezi kuitingisha Chalinze kisiasa.

Jiandaeni kupata kipigo cha kisiasa kwanza Kalenga halafu ndiyo muanze kujiandaa kisaikologia pale sunami ya kisiasa ya Chalinze itakapowafika.

CCM ni sera, CCM ni Ilani ya uchaguzi na CCM ni ushindi.

Jaribu kuangalia matokeo ya chaguzi za ubunge za 2005 na 2010, ndiyo upate mwerekeo wa kile kilicho mbioni kuwapata.

kwani KUBWABWAJA SANA NDIYO KUTASAIDIA NINI ?
 
Miraji atajitoa baadae then Riz ashinde bila kuwa na mpinzani, ni bora Kubenea. Hivyo jina lake likatwe mapema kwa MAKUSUDI makubwa akichukua fomu.

CHADEMA ni Chama makini, hatukurupuki Kumpitisha mgombea, lazima SWOT Analysis Ifanyike Kabla ya Kufikia Conclussion ya Kumpitisha Mgombea... Rejea Histori ya Chaguzi mbalimbali.
 
Tangu kubenea ashiriki kikamilifu ktk mikakati ya kumg'ngoa Zitto Chadema sina imani nae,ni mtu wa kutumiwa huyo
 
Tunafahamu BAVICHA kuna viwanda vya kuzalisha majungu, vitina na ulaghai kama ilivyo misingi ya CHADEMA. Hili andiko lako halihitaji hata kutumia fikra zinazotumia 3D katika kutafakari.

Hata mkiongeza uzalishaji w majungu, fitina na ulaghai hamuwezi kuitingisha Chalinze kisiasa.

Jiandaeni kupata kipigo cha kisiasa kwanza Kalenga halafu ndiyo muanze kujiandaa kisaikologia pale sunami ya kisiasa ya Chalinze itakapowafika.

CCM ni sera, CCM ni Ilani ya uchaguzi na CCM ni ushindi.

Jaribu kuangalia matokeo ya chaguzi za ubunge za 2005 na 2010, ndiyo upate mwerekeo wa kile kilicho mbioni kuwapata.

CHADEMA na Kubenea ni ndoa takatifu ya kishetani kwa sababu wote wanaishi katika misingi iliyongamana ya majungu, fitina na ulaghai.
Sera zenu zilisha shindwa siku nyingi, mmebakia na rushwa, ufisadi na ushirikina tu! hamna jipya manyang'au wakubwa nyie.
 
​katika watu ambao akili zao ni za ajabu kuliko watu wote tanzania basi ni bavicha hiki kiwanda cha majungu sijui kiko tengeru au hai?
 
kwani KUBWABWAJA SANA NDIYO KUTASAIDIA NINI ?
Ni kweli kubwabwaja hakusaidii lolote kwa sababu kama kubwabwaja kungekuwa kunasaidi lolote basi CHADEMA ingekuwa kwa sasa imeishapata hisani kutoka kwa wananchi ya kuongoza na kutawala Tanzania.

Unaikumbuka hii,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.

Ziara hiyo inaanzia katika mikoa ya Tanga, Mwanza na Ruvuma, huku viongozi wa chama hicho wakijigawa katika makundi sita; matatu yakitumia helkopta na matatu yatawafikia wananchi kwa kutumia usafiri wa magari.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, lengo la operesheni hiyo ni kukiimarisha chama hicho na kuwafumbua macho wananchi kuhusu mchakato wa Katiba Mpya.

"Tumejigawa katika makundi sita na makundi matatu kati ya hayo yatatumia helikopta kila moja, makundi mengine yatawafikia wananchi kwa misafara ya ardhini," alisema Mbowe na kuongeza;

"Viongozi wakuu wa chama, wabunge, wenyeviti wa mikoa, wilaya, majimbo na kanda kila mmoja atashiriki kwa nafasi yake katika operesheni hii. Tutafanya mikutano kwa wiki mbili, ila tunaweza kuongeza wiki nyingine moja."

Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima - Siasa - mwananchi.co.tz
Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe anasema lengo kuu la kuanzisha operesheni hiyo ni pamoja na kukiimarisha chama na kuwafumbua macho Watanzania juu ya mchakato wa Katiba Mpya unaoendelea. Operesheni hiyo ya siku 14 inayoendelea katika mikoa yote isipokuwa Lindi na Mtwara, inaendeshwa na makundi sita ya viongozi matatu yakitumia helkopta na wengine magari

Operesheni Pamoja Daima: Itamtimua huyu bundi Chadema? - Makala - mwananchi.co.tz

Kwani hata hii hapa chini umeisahau,

Ulaghai hauna nafasi katika siasa endelevu.
 
Haya Sasa Cdm ANi Chama Cha Kaskazn Ccm Je?! Kwa Nyie Ambao Hamna Baba Zenu Wazazi Huko Ccm Hamna Chenu Hata Kama Ni Unajiita Una Damu Ya Ccm Utakuwa Mpiga Kura Za Maoni Tu,ila Uongozi Hupati Hata Kama Una Elimu,siamini Kwamba Kalenga Hakuna Wasomi Na Wenye Uwezo Kuliko Mgimwa, Chalinze Tena Riz 1.Sasa Hii Ccm Lazima Ujiite Mwinyi, Makamba,mgimwa,kikwete Na Majina Mengine Yaliyokuwepo Ccm Tokea Zamani. Hiki Si Chama Cha Ufalme Kwamba Tunarithishana Badilikeni Wa Tz Kama Wanachagua Jina Ntawacheka Wa Tz Wa Kalenga Na Chalinze Ha Ha Haaaa,tehe Tehe Tehed
 
Wakuu habari za usiku
natumaini ni wazima back to the topic niko hapa jimboni chalinze kama tunavyojua ni jimbo la uchaguzi watu wengi wanaonekana kutokufurahishwa na uamuzi wa chama cha mapinduzi kumpitisha prince riz one kugombea ubunge wengi wanalalamika ahadi alizozitoa baba yake alipokuwa mbunge hakuzitimiza na hata walipoamua kumuunga mkono kwenye kinyanganyiro cha urais aliishia kuwalekeza je huyu mtoto atatusaidia nini?
Masikio na macho yote ya wana chalinze tumeyahamishia chadema kama wakimsimamisha mtu mzuri basi tutamuunga mkono
hatahivyo kuna tetesi zinazosambaa kwa kasi sana kuwa mtoto wa rais miraji kikwete anatarajia kuchukua fomu ya kugombea kupitia chadema (miraji amekuwa haelewani na riz wala baba yake na kwa wanaomfahamu hawatashangaa kusikia hili)
pia mkurugenzi wa ----------- said kubenea naye ameonesha nia ya kugombea kupitia chadema

nimeongea na kiongozi wa chadema chalinze akaniambia wawili hao wanatarajia kuchukua fomu mapema wiki hii
ninauhakika kura za maoni zitakuwa na ushindani sana hasa kwa kubenea na miraji
JE NI MIRAJI AU KUBENEA CHALINZE?


Riz1 moja ya toto wa rais bongo lala anayejifanya smart wakati anabebwa mchana kweupe, changes is coming wapinzani wakichukua nchi
 
Back
Top Bottom