Tunafahamu BAVICHA kuna viwanda vya kuzalisha majungu, vitina na ulaghai kama ilivyo misingi ya CHADEMA. Hili andiko lako halihitaji hata kutumia fikra zinazotumia 3D katika kutafakari.
Hata mkiongeza uzalishaji w majungu, fitina na ulaghai hamuwezi kuitingisha Chalinze kisiasa.
Jiandaeni kupata kipigo cha kisiasa kwanza Kalenga halafu ndiyo muanze kujiandaa kisaikologia pale sunami ya kisiasa ya Chalinze itakapowafika.
CCM ni sera, CCM ni Ilani ya uchaguzi na CCM ni ushindi.
Jaribu kuangalia matokeo ya chaguzi za ubunge za 2005 na 2010, ndiyo upate mwerekeo wa kile kilicho mbioni kuwapata.
CHADEMA na Kubenea ni ndoa takatifu ya kishetani kwa sababu wote wanaishi katika misingi inayofungamana ambayo niya majungu, fitina na ulaghai.
Wewe endelea kupingana na ukweli wakati ukuta wa ukweli halisia unasomeka hivi,Sera zenu zilisha shindwa siku nyingi, mmebakia na rushwa, ufisadi na ushirikina tu! hamna jipya manyang'au wakubwa nyie.
Kama meneno yangekuwa ndiyo hali halisi basi ulipaswa kupewa tuzo ya kwanza lakini kwa vile maneno yanakamilisha ubinadamu basi, kila mtu anaweza kusema haya maneno uyasemayo.CCM YAIGALAGAZA CHADEMA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI, CHADEMA YAAMBULIA KATA 3 WAKATI CCM IKIZOA KATA 24 KATI YA KATA ZOTE 27, HUKU DIWANI WA CHADEMA AKIWAKABIDHI KATA CCM.
Eti JK hajafanya kitu alipokuwa mbunge, fanya utafiti kabla ya kukurupuka, ile mitambo ya maji pale Wami inapeleka wapi maji? Unajua kinachoendelea sasa hivi? Ukiza wakazi kwanza wa Chalinze kabla ya kuandika.
Upinzani waachane na ilo jimbo. Nikupoteza muda,nguvu na pesa ambazo zingeweza kuelekezwa sehemu nyingine.
Kikao gani cha wanachama wa CHADEMA kimekaa na kuchagua huyu mdaku kubenea kugombea ubunge?
Kama ilivyoripotiwa hapa Jamiiforums.Sera mlizobakinazo nikukausha hazina yote nakuwanunua wanasiasa wasiojitambua Kama akina Zitto nakuwatumia police.Hizo sera za Maisha bora kwa kila Mtanzania huku mkirithishana ufalme Watanzania wameshawapuuza,Wewe mwenyewe siajabu ni mramba Viatu tu ndio maana unatumika wakati wakubwazako wakijinufaiaha
Mimi ni mbunge, bungeni nimekuwa nikichangia watu mbalimbali mimi kama Freeman, si ajabu watu wengine kunichangia. Hapa jambo la msingi ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa pesa na Kikwete au CCM si tatizo lakini unapewa pesa kwa sababu zipi, kwa malengo gani? alihoji Mbowe.
Upinzani waachane na ilo jimbo. Nikupoteza muda,nguvu na pesa ambazo zingeweza kuelekezwa sehemu nyingine.
Tunafahamu BAVICHA kuna viwanda vya kuzalisha majungu, vitina na ulaghai kama ilivyo misingi ya CHADEMA. Hili andiko lako halihitaji hata kutumia fikra zinazotumia 3D katika kutafakari.
Hata mkiongeza uzalishaji w majungu, fitina na ulaghai hamuwezi kuitingisha Chalinze kisiasa.
Jiandaeni kupata kipigo cha kisiasa kwanza Kalenga halafu ndiyo muanze kujiandaa kisaikologia pale sunami ya kisiasa ya Chalinze itakapowafika.
CCM ni sera, CCM ni Ilani ya uchaguzi na CCM ni ushindi.
Jaribu kuangalia matokeo ya chaguzi za ubunge za 2005 na 2010, ndiyo upate mwerekeo wa kile kilicho mbioni kuwapata.
CHADEMA na Kubenea ni ndoa takatifu ya kishetani kwa sababu wote wanaishi katika misingi inayofungamana ambayo niya majungu, fitina na ulaghai.
Wakuu habari za usiku
natumaini ni wazima back to the topic niko hapa jimboni chalinze kama tunavyojua ni jimbo la uchaguzi watu wengi wanaonekana kutokufurahishwa na uamuzi wa chama cha mapinduzi kumpitisha prince riz one kugombea ubunge wengi wanalalamika ahadi alizozitoa baba yake alipokuwa mbunge hakuzitimiza na hata walipoamua kumuunga mkono kwenye kinyanganyiro cha urais aliishia kuwalekeza je huyu mtoto atatusaidia nini?
Masikio na macho yote ya wana chalinze tumeyahamishia chadema kama wakimsimamisha mtu mzuri basi tutamuunga mkono
hatahivyo kuna tetesi zinazosambaa kwa kasi sana kuwa mtoto wa rais miraji kikwete anatarajia kuchukua fomu ya kugombea kupitia chadema (miraji amekuwa haelewani na riz wala baba yake na kwa wanaomfahamu hawatashangaa kusikia hili)
pia mkurugenzi wa ----------- said kubenea naye ameonesha nia ya kugombea kupitia chadema
nimeongea na kiongozi wa chadema chalinze akaniambia wawili hao wanatarajia kuchukua fomu mapema wiki hii
ninauhakika kura za maoni zitakuwa na ushindani sana hasa kwa kubenea na miraji
JE NI MIRAJI AU KUBENEA CHALINZE?
Kikao gani cha wanachama wa CHADEMA kimekaa na kuchagua huyu mdaku kubenea kugombea ubunge?
if Miraji was serious,would come forth and challenge his bro,but Said is enough!
Tunafahamu BAVICHA kuna viwanda vya kuzalisha majungu, vitina na ulaghai kama ilivyo misingi ya CHADEMA. Hili andiko lako halihitaji hata kutumia fikra zinazotumia 3D katika kutafakari.
Hata mkiongeza uzalishaji w majungu, fitina na ulaghai hamuwezi kuitingisha Chalinze kisiasa.
Jiandaeni kupata kipigo cha kisiasa kwanza Kalenga halafu ndiyo muanze kujiandaa kisaikologia pale sunami ya kisiasa ya Chalinze itakapowafika.
CCM ni sera, CCM ni Ilani ya uchaguzi na CCM ni ushindi.
Jaribu kuangalia matokeo ya chaguzi za ubunge za 2005 na 2010, ndiyo upate mwerekeo wa kile kilicho mbioni kuwapata.
CHADEMA na Kubenea ni ndoa takatifu ya kishetani kwa sababu wote wanaishi katika misingi inayofungamana ambayo niya majungu, fitina na ulaghai.