- Thread starter
- #41
Wewe endelea kupingana na ukweli wakati ukuta wa ukweli halisia unasomeka hivi,
Kama meneno yangekuwa ndiyo hali halisi basi ulipaswa kupewa tuzo ya kwanza lakini kwa vile maneno yanakamilisha ubinadamu basi, kila mtu anaweza kusema haya maneno uyasemayo.
"jf imevamiwa na spin doc wengi sana"by melo jf founder