Ni miraji Kikwete au Said Kubenea, Chalinze?

Ni miraji Kikwete au Said Kubenea, Chalinze?

Wewe endelea kupingana na ukweli wakati ukuta wa ukweli halisia unasomeka hivi,

Kama meneno yangekuwa ndiyo hali halisi basi ulipaswa kupewa tuzo ya kwanza lakini kwa vile maneno yanakamilisha ubinadamu basi, kila mtu anaweza kusema haya maneno uyasemayo.

"jf imevamiwa na spin doc wengi sana"by melo jf founder
 
mkuu MwanaDiwani,Hata kuwaacha hawa vijana wa chadema kuwapotosha watu humu niunyonge pia,Nivema wasiachwe wanapo leta upotoshaji wajibiwe,unyonge alio usema kikwete nipamoja nakutojibiwa pale wanapo tunga uongo alafu wana ccm wanakaa kimya, nauongo unapojirudia rudia unaonekana niukweli,

Mkuu. Ninakubaliana na hoja yako.

Ninaona kwa sasa wengi wao wamelimbia jukwaa kwa sababu uwongo mara zote huwa haudumu.

Hawawezi kupambana na ukweli.

Huruma yetu ni kwa wale wanaopotoshwa kwa kununua bidhaa za kisiasa za kilaghai zinazozalishwa na BAVICHA kwenye mtaa wa Ufipa, Dar-es-salaam.
 
Wewe endelea kupingana na ukweli wakati ukuta wa ukweli halisia unasomeka hivi,

Kama meneno yangekuwa ndiyo hali halisi basi ulipaswa kupewa tuzo ya kwanza lakini kwa vile maneno yanakamilisha ubinadamu basi, kila mtu anaweza kusema haya maneno uyasemayo.
Mwenyewe hukatai kwamba sera zenu zimeshindwa kabisa, mmebaki kutoa rushwa na kubebwa na dola tu!
 
Wakuu habari za usiku
natumaini ni wazima back to the topic niko hapa jimboni chalinze kama tunavyojua ni jimbo la uchaguzi watu wengi wanaonekana kutokufurahishwa na uamuzi wa chama cha mapinduzi kumpitisha prince riz one kugombea ubunge wengi wanalalamika ahadi alizozitoa baba yake alipokuwa mbunge hakuzitimiza na hata walipoamua kumuunga mkono kwenye kinyanganyiro cha urais aliishia kuwalekeza je huyu mtoto atatusaidia nini?
Masikio na macho yote ya wana chalinze tumeyahamishia chadema kama wakimsimamisha mtu mzuri basi tutamuunga mkono
hatahivyo kuna tetesi zinazosambaa kwa kasi sana kuwa mtoto wa rais miraji kikwete anatarajia kuchukua fomu ya kugombea kupitia chadema (miraji amekuwa haelewani na riz wala baba yake na kwa wanaomfahamu hawatashangaa kusikia hili)
pia mkurugenzi wa ----------- said kubenea naye ameonesha nia ya kugombea kupitia chadema

nimeongea na kiongozi wa chadema chalinze akaniambia wawili hao wanatarajia kuchukua fomu mapema wiki hii
ninauhakika kura za maoni zitakuwa na ushindani sana hasa kwa kubenea na miraji
JE NI MIRAJI AU KUBENEA CHALINZE?

MIRAJI ni mwanachama wa CHADEMA?
 
Back
Top Bottom