Ni Mimi tu au kuna mtu ushawahi kutokea?

Ni Mimi tu au kuna mtu ushawahi kutokea?

Umenikumbusha story yangu pale jiji kasoro bahari kwenye guest moja pale nadhani ule mtaa unaitwa Boma. Mhudumu alikuwa ni ME sasa siku nafika pale na washikaji wangu wengine wanne ME kujiandikisha kwenye daftari la wageni akasogea binti mmoja mzuri sana.

Mhudumu kakaa kwenye kiti na kuna meza anaandika majina. Sie watano tumesimama kuizunguka meza na yule binti akawa wa sita.

Alivaa kanga tu lubega na nyingine kafunga kiunoni. Basi mie nikaanza kumkagua jinsi alivyoumbika kuanzia sura hadi miguu. Akanistukia na kunibamba namkagua kwa macho tukaangaliana na wote tukabatasamu bila yeyote pale kutustukia.

Zoezi lilipoisha mhudumu akatwambia jamani huyu KE ni wangu nawaombeni sana mcheze naye mbali sana.

Mie tayari akili inanizunguka ni vipi nitaweza kumvua pichu yule mrembo. Basi ukapatikana upenyo nikagegeda mtoto ni mtamu sana ilikuwa saa za jioni. Basi kuna wanoko pale kitaa wakaenda kumtonya mhudumu KE wako anagegedwa alikuja mbio sana na kuanza kugonga nifungue kistaarabu na mie niko juu ya kifua na kinena kitamu ile mbaya. Jamaa akaanza kupiga mlango mateke mtoto anatoa sauti za kimahaba huku akiniambia fungua atavunja mlango. Mie niko busy kama gwajiboy 😂😂nawatafuta wazungu maana si kwa utamu ule na jamaa anasikia kinachoendelea. Basi hatimaye wazungu wakaitikia wito 😜😜

Vaa haraka haraka ndiyo kufungua mlango. Nikikumbuka ule mkasa hadi hii leo natabasamu. Utamu wa yule mrembo haukuwa wa kawaida miezi michache baadaye nikatinga tena Moro kwa ajili ya kumpanga ahamie Jijini ndio nikakutana na habari kwamba aliolewa Kilosa nikawa kama nimemwagiwa maji mwili mzima si kwa urembo ule na utamu wa K uliopitiliza 😋😋
Najilaum sana ,muda huu mtoto kanipigia anadai niende
 
Coast zone na baridi wapi na wapi..??? Labda Lushoto district
 
Ila sisi wanaume nasi dah! Sasa unafikiri huyo mhudumu wa hivyo analalwa na wanaume wangapi kwa wiki moja? Au unafikiri wewe ni special case? Mungu na Atusaidie tu kwa kweli kwa sabahu hakuna namna [emoji16][emoji16][emoji16][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Ujana maji ya moto wadau tuule kwa umakini usije ukatukula sisi wenyewe
 
Kwa mawazo yako unaiona hiyo ni fursa,trust me hata yeye amekuona wew ni fursa....

Unahisi wangapi wamefika hapo na kuwauliza kama wew?
 
Kunatofaut . Ya kulala nae na kufanya nae sex. Yy. Alimaamisha kulala. Nae tu akili changanua
 
Jana nilitembelea mkoa x ,Kanda ya pwani kwa ajili ya kuangalia fursa ya biashara nikafikia kwenye gest nzuri,ilikuwa mida ya saa 4 usiku,kutokana na uchovu wa safari si ku-concentrate sana kwa mhudumu wa hiyo gest, alikuwa binti mwenye mwili wa kimis ,portable device,rangi ya mtume,rafudhi nzuri nahis na tabasamu la kutosha( hii niligundua baada ya kumwangalia vizuri Leo asubuhi wakati nakabidhi room) ,
Ni hivi ,baada ya kuamka leo asubuhi nikarejesha funguo kwa mhudumu nikagonga Chumba cha mapokezi, akafungua,akatabasamu na kuniamkia,ndipo nilipoona uzuri wake ambao usiku sikuuona vizuri,baadae kaniuliza " vipi usiku ilikuwaje",nikamwambia "ulikuwa poa ila baridi tu lilinitesa)
Akasema huku akitabasamu," ungeniambia tuje tulale wote,"
Daa baada ya hapo mapigo ya moyo yalienda kasi sana ,nikamjibu "usijari siku nyingine nikirudi "
Hiki kitu kimenistua sana hivyo Basi nauliza hivi Mimi tu au na wengine mshawahi kukutana na hii kitu???
Nishachukua namba kabisa nikirudi tu imooooo
Itoshe kusema wewe Ni Mzembe mkuu.


Goi goi kwa jina lingine.
 
We jamaa...uyo manz yuko apo kila siku anakutana na wanaume kila siku. Wangap wanapiga?? ..kibaooo. Na uhakika ww sio wa kwanza kiambiwa maneno hayo. Yuko kibiashara huyo.
 
Huu muda unaopoteza kuuliza hapa ilitakiwa urud tena kulala na umwambie unaskia barid ili aje, ila ukitoka na HIV usiisambaze kwa wengine
 
Ulishindwaje kujiongeza hapo hapo ukabadili gia angani hata lisaa 1 na nusu!!!!!???
 
Back
Top Bottom