Mi nahic mbeya itaongoza coz watuwake wanajiamini kupita kiasi kwamfano hatua ya kumpiga mawe jk . Kumzomea mama salma na jk. Pia huku picha za dr slaa zinauzwa mitaani kuliko za raisi yaani mpaka vijijini ni peoples power tu .dar siwategemei sana coz wamejaa waswahili walio wanafki pamoja na matajiri wasio jua matatizo ya watanzania.
Ntwara,Lindi na Songea......ha..ha..haaaaaaaa