Ni Miaka 50 ya UHURU au 49??!!

Erickb52

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
18,539
11,442
Jamani kila nikihesabu kuanzia mwaka 1961 naona jana ndo tumekamilisha miaka 49 tangu tupate uhuru na leo trh 10 ndo tumeuanza mwaka wa 50 tangu tuwe huru,sasa tunasherehekea kipi? Au mi ndo sijui mahesabu? Mwaka wa kwanza wa uhuru ulikamilika trh 09 Dec 1962 so kwa sasa mwaka wa hamsini unatakiwa kukamilika mwakani 09 Dec 2012.
Labda ni uelewa wangu ndo umekaa sendemaa.
 
Jamani kila nikihesabu kuanzia mwaka 1961 naona jana ndo tumekamilisha miaka 49 tangu tupate uhuru na leo trh 10 ndo tumeuanza mwaka wa 50 tangu tuwe huru,sasa tunasherehekea kipi? Au mi ndo sijui mahesabu? Mwaka wa kwanza wa uhuru ulikamilika trh 09 Dec 1962 so kwa sasa mwaka wa hamsini unatakiwa kukamilika mwakani 09 Dec 2012.
Labda ni uelewa wangu ndo umekaa sendemaa.


Wewe ni mwehu,akili zako hazina akili.
Kama 1962 tulikamilisha mwaka mmoja basi 1971 tulikamilisha mwaka wa kumi.Toka 1971 mpaka 2011 ni miaka 40,ukijumlisha na miaka 10 unapata 50.Nenda hospitali kapime akili.
 
Swadaktaa wala hujakosea akili zako ni zaidi ya sendemaa

Hebu kaa upige mahesabu uone km uko sawa, then uje na ufafanuzi walau ueleweke isije ikawa we ndo uko wrong.
 
Wewe ni mwehu,akili zako hazina akili.
Kama 1962 tulikamilisha mwaka mmoja basi 1971 tulikamilisha mwaka wa kumi.Toka 1971 mpaka 2011 ni miaka 40,ukijumlisha na miaka 10 unapata 50.Nenda hospitali kapime akili.

Mwaka 1971 tulikamilisha miaka 9 na sio kumi, itaakamilishaje mwaka ambao bado hujauanza??
We unahesabu vipi????? km umeanza safari saa 1 asb ukafika saa 3 utakuwa umetumia masaa ma 3 au ma 2? Huwezi kuhesabu kuanzia saa moja bali kuanzia saa 2 lilipokamilika saa la kwanza otherwise utakuwa umetumia msaa matatu,chukua calculator uhesabu kwa umakini
 
Dunia hii ina wehu wengi, ukute hili nalo ni baba au mama lizima sijui limesoma wapi hesabu za hivyo? Nyam....f!
 
Mwaka 1971 tulikamilisha miaka 9 na sio kumi, itaakamilishaje mwaka ambao bado hujauanza??
We unahesabu vipi????? km umeanza safari saa 1 asb ukafika saa 3 utakuwa umetumia masaa ma 3 au ma 2? Huwezi kuhesabu kuanzia saa moja bali kuanzia saa 2 lilipokamilika saa la kwanza otherwise utakuwa umetumia msaa matatu,chukua calculator uhesabu kwa umakini
Miaka 10
1/1961-62; 2/1962-63; 3/1963-64; 4/1964-65; 5/1965-66; 6/1966-67; 7/1967-68; 8/1968-69; 9/1969-70; 10/ 1970-71
 
Try to heal your brain..kama mambo yenyewe ndo haya itabidi tuungalie upya mfumo wetu wa elimu,eti miaka 49 kaazi kweli kweli
 
Miaka 10
1/1961-62; 2/1962-63; 3/1963-64; 4/1964-65; 5/1965-66; 6/1966-67; 7/1967-68; 8/1968-69; 9/1969-70; 10/ 1970-71
Yah unajua sometime kuna kukosea, huwezi amini nilikuwa nakosea serious, kwa sasa tuko pamoja Its 50 yrs ingawa ni ya uhuru wa maneno coz bado watu wananyanyaswa,wananyimwa haki zao in short hakuna uhuru wa kweli Tanzania
 
kuuliza sio ujinga
mnaojua muelimisheni...wengi hawana hata muda wa kuhesabu
wanafuata mkumbo tu
 
Wewe ni mwehu,akili zako hazina akili.
Kama 1962 tulikamilisha mwaka mmoja basi 1971 tulikamilisha mwaka wa kumi.Toka 1971 mpaka 2011 ni miaka 40,ukijumlisha na miaka 10 unapata 50.Nenda hospitali kapime akili.
Itabidi tutumie visoda kuhesabu
 
62, 63, 64, 65, 66, 67, 68, 69, 70, 71 = 10 years. Vp imekusaidia?!

Erickb52 said:
Dah imenisaidia kiukweli
Well Done

Jabulani said:
Itabidi tutumie visoda kuhesabu

Shark said:
Asipoelewa na hii inabidi arudi darasa la nne!!!!

Realtor umemsaidia sana ndugu yetu Erickb52 aelewe kwa kumpa mfano rahisi(wangu ulikuwa mgumu),

Jabulani unanikumbusha miaka ya tisini nilivyokuwa naenda na visoda kwa ajili ya kuhesabu

Shark ,kweli ingebidi arudi darasa la nne
 
Back
Top Bottom