Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Jamani msaada
Jamaa yangu juzijuzi tu hapa kanambia kuwa kapata mchumba. Tulikuwa na ugomvi aoe maana yuko 35 sasa! Basi juzi tu akanambia kuwa kampata mwenza na anataka mipango iende fasta na aoe ikiwezekana this year. Basi bibiye naye kapenda tukaitwa tukaonyeshwa. Tukaona binti mzuri kwa kweli (kwa sura lakini maana tabia hatujui). Jamaa kapata bana! Toto mashallah kakamilika idara zote bana. Sasa juzi jamaa anataka kwenda kujitosa kwa wazazi akaja kwetu. Dodosa kumbe binti na mwili wake woote dah miaka 17 bana!
Mimi nilimuuliza ushampeleka chumbani kwako? Jamaa akanambia tayari na kila kitu safi ushirikiano wa kutosha. Nikamwambia sasa PINGU zinafuata! Ni bora aachane naye! Kaelewa akaanza excuse za hapa na pale! Mtoto kasema kama hatomwoa atamsemea kuwa alimwita akamskumizia chumbani akambaka na mbaya sms zote za kimapenzi alozokuwa anamwandikia ataonyesha maana hajazifuta kwenye simu yake. Jamaa anapanga kuishia zake mkoa mwingine. Nimsaidieje?
Nawasilisha
Jamaa yangu juzijuzi tu hapa kanambia kuwa kapata mchumba. Tulikuwa na ugomvi aoe maana yuko 35 sasa! Basi juzi tu akanambia kuwa kampata mwenza na anataka mipango iende fasta na aoe ikiwezekana this year. Basi bibiye naye kapenda tukaitwa tukaonyeshwa. Tukaona binti mzuri kwa kweli (kwa sura lakini maana tabia hatujui). Jamaa kapata bana! Toto mashallah kakamilika idara zote bana. Sasa juzi jamaa anataka kwenda kujitosa kwa wazazi akaja kwetu. Dodosa kumbe binti na mwili wake woote dah miaka 17 bana!
Mimi nilimuuliza ushampeleka chumbani kwako? Jamaa akanambia tayari na kila kitu safi ushirikiano wa kutosha. Nikamwambia sasa PINGU zinafuata! Ni bora aachane naye! Kaelewa akaanza excuse za hapa na pale! Mtoto kasema kama hatomwoa atamsemea kuwa alimwita akamskumizia chumbani akambaka na mbaya sms zote za kimapenzi alozokuwa anamwandikia ataonyesha maana hajazifuta kwenye simu yake. Jamaa anapanga kuishia zake mkoa mwingine. Nimsaidieje?
Nawasilisha