Ni mda wa Tanzania kujenga small satellite launch pad

Ni mda wa Tanzania kujenga small satellite launch pad

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,811
Reaction score
7,489
Ukiangalia gharama za kutengeneza small satellite launch pad ina range kwa usd million 5 au 10 sawa na tsh billion 10 au 20

Kwa tsh billion 10 au 20 tunajenga multi pad satellite launch

Faida za small satellite launch pad ni kama zifuatazo
  1. Itatumika kwenye scientific study kama weather forecast
  2. Itatumiwa na makampuni kurusha satellite kwenye space na kuingizia nchi mapato
  3. Itatumika kwenye environment monitoring na kuondoa utegemezi wa nchi nyingine kwenye environment monitoring
  4. Itakuza field ya space exploration afrika kwa sababu kwa sasahivi iko dominated na nchi zilizoendela
  5. Itakuza viwanda vya kuzalisha satellite Tanzania
  6. Hii itafungua milango ya kujenga complex rocket launch pad

Tanzania tunaweza kabisa kujenga small satellite launch pad

Kama elon musk amelaunch satellite zaidi ya 1000 kwa Tanzania tushindwe i think huu ni mda wakufanya hivyo sababu gharama tunaweza zimudu
 
Ukiangalia gharama za kutengeneza small satellite launch pad ina range kwa usd million 5 au 10 sawa na tsh billion 10 au 20

Kwa tsh billion 10 au 20 tunajenga multi pad satellite launch

Faida za small satellite launch pad ni kama zifuatazo
  1. Itatumika kwenye scientific study kama weather forecast
  2. Itatumiwa na makampuni kurusha satellite kwenye space na kuingizia nchi mapato
  3. Itatumika kwenye environment monitoring na kuondoa utegemezi wa nchi nyingine kwenye environment monitoring
  4. Itakuza field ya space exploration afrika kwa sababu kwa sasahivi iko dominated na nchi zilizoendela
  5. Itakuza viwanda vya kuzalisha satellite Tanzania

Tanzania tunaweza kabisa kujenga small satellite launch pad
Duuuh
 
Ukiangalia gharama za kutengeneza small satellite launch pad ina range kwa usd million 5 au 10 sawa na tsh billion 10 au 20

Kwa tsh billion 10 au 20 tunajenga multi pad satellite launch

Faida za small satellite launch pad ni kama zifuatazo
  1. Itatumika kwenye scientific study kama weather forecast
  2. Itatumiwa na makampuni kurusha satellite kwenye space na kuingizia nchi mapato
  3. Itatumika kwenye environment monitoring na kuondoa utegemezi wa nchi nyingine kwenye environment monitoring
  4. Itakuza field ya space exploration afrika kwa sababu kwa sasahivi iko dominated na nchi zilizoendela
  5. Itakuza viwanda vya kuzalisha satellite Tanzania
  6. Hii itafungua milango ya kujenga complex rocket launch pad

Tanzania tunaweza kabisa kujenga small satellite launch pad
Surely it's possible,
But more research is needed.
 
Nchi gani apa afrika hasa uku subsahara wanamiliki mfumo huo,je warushaji wakuu usa,china,urusi,uropa tutaweza kukalibia soko lao?
 
Ukiangalia gharama za kutengeneza small satellite launch pad ina range kwa usd million 5 au 10 sawa na tsh billion 10 au 20

Kwa tsh billion 10 au 20 tunajenga multi pad satellite launch

Faida za small satellite launch pad ni kama zifuatazo
  1. Itatumika kwenye scientific study kama weather forecast
  2. Itatumiwa na makampuni kurusha satellite kwenye space na kuingizia nchi mapato
  3. Itatumika kwenye environment monitoring na kuondoa utegemezi wa nchi nyingine kwenye environment monitoring
  4. Itakuza field ya space exploration afrika kwa sababu kwa sasahivi iko dominated na nchi zilizoendela
  5. Itakuza viwanda vya kuzalisha satellite Tanzania
  6. Hii itafungua milango ya kujenga complex rocket launch pad

Tanzania tunaweza kabisa kujenga small satellite launch pad
Mkuu hivi kulaunch rocket zinazobeba satelite haitegemti geolocation?
 
Nchi zote ambazo zinamiliki huo mfumo au kifaa kirushwacho wotee wapo na ukwasi mzitouchumi mkubwa kuliko wasiorusha wala wasio na mfumo pia wapo vizuri kijeshi na wengi wa wenye mfumo huo wapo kalibu na uundaji na urushaji wa makombora na hata tec ya ipo kijeshi zaidi (sub sahara ngoja kwanza tuwe na huakika wa maji ya kunywa na vyoo bora kwanza then pesa zikibaki tuanze kurusha machuma uko angani)
 
Nchi zote ambazo zinamiliki huo mfumo au kifaa kirushwacho wotee wapo na ukwasi mzitouchumi mkubwa kuliko wasiorusha wala wasio na mfumo pia wapo vizuri kijeshi na wengi wa wenye mfumo huo wapo kalibu na uundaji na urushaji wa makombora na hata tec ya ipo kijeshi zaidi (sub sahara ngoja kwanza tuwe na huakika wa maji ya kunywa na vyoo bora kwanza then pesa zikibaki tuanze kurusha machuma uko angani)
Mambo yote yanafanyika sababu ukijenga satellite launch pad haina maana hakutakuwa na budget ya maji, hospital

Hizi launch pad zitaiongezea nchi mapato (revenue)
 
Bwana wee sisi uku blaki pipo twajijua bongo zetu maybe kama kuna watu watapata huakika wa 10% ya mradi kumbuka mradi wa bwawa la umeme uko rufiji tena faida zipo wazi ila nadhan hata ww shahidi kama unaona faida za bwawa ilo sembuse huo mfumo (kumbuka sipingi faida ila kwa sisi uku sub sahara bado huo mfumo )
 
Bwana wee sisi uku blaki pipo twajijua bongo zetu maybe kama kuna watu watapata huakika wa 10% ya mradi kumbuka mradi wa bwawa la umeme uko rufiji tena faida zipo wazi ila nadhan hata ww shahidi kama unaona faida za bwawa ilo sembuse huo mfumo (kumbuka sipingi faida ila kwa sisi uku sub sahara bado huo mfumo )
Kila jambo lina mwanzo wake hii dhana haiwezi endelea kuwepo
 
Back
Top Bottom