Ni mazingira gani mazuri ya kuwalea watoto? Inatakiwa wakuogope au wawe friendly?

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Wakuu kwa Sasa watoto wanaharibika sana so Lipi ni Bora Mzazi uwe Nunda au ukubali watoto wawe friendly yaani uwadekeze wasikuogope na Dunia ya Leo wanaweza Kuharibika fasta

Wazazi mliozaa nyinyi mnawaleaje watoto wenu? Je ni wale ambao Watoto wanaweza kuja nyumbani kwako na Ma boyfriend zao straight mpaka vyumbani mwao au? Yepi Ni Malezi Mazuri Kuwa Kauzu au Uwe friendly.

167142_8b2af2eee7ad2d47288f12e8df52c128.gif
 
...
Je ni wale ambao Watoto wanaweza kuja nyumbani kwako na Ma boyfriend zao straight mpaka vyumbani mwao au? Yepi Ni Malezi Mazuri Kuwa Kauzu au Uwe friendly.
Kumbe una mtoto wa kike?

Njia mbili za kumlea mtoto ni kupitia negative au positive award. Akikosea apewe negative award akipatia apewe positive award.

Ajue majukumu yake mapema. Mpe hata kuku amfuge. Na ajue matokeo ya matendo yake mapema.

Usimhusishe na siasa zitamharibu kichwa.
 
Kumbe una mtoto wa kike?

Njia mbili za kumlea mtoto ni kupitia negative au positive award. Akikosea apewe negative award akipatia apewe positive award.

Ajue majukumu yake mapema. Mpe hata kuku amfuge. Na ajue matokeo ya matendo yake mapema.

Usimhusishe na siasa zitamharibu kichwa.
Na bahati mbaya akiingizwa kwenye siasa atakua liccm...which means itakua hasara kwa kizazi kijacho!
 
Hakuna formula moja ya malezi maana kila mtoto anamahitaji tofauti na uelewa tofauti, Kuwa flexible,panapohitajika karipia,adhibu,onya, amrisha ,fundisha,burudisha na usifie pia. Ila katika yote walinde.
 
Ishi naye kwa kumfundisha na uwe naye karibu sana. Yaani mfanye awe rafiki. Ataharibika kama wewe umeharibika. Yaani ata adopt yale anayoyaona kwako
 
Kumlea kibandidu ndio kutamfungua akili mapema. Duniani tuko vitani sio Picnic nataka nimpandikize hio mentality mapema.
 
Back
Top Bottom