OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,195
- 103,724
Hakuna hipya. Wanaotajwa wote walipewa vyeo ili kulinda taswira ya marehemu. Doto na Bashiru walitakiwa kuwa jela wakati uchunguzi unaendelea.
Kama ni hivyo HK hawezi kubaki salamaSi kweli nimedokezwa kuwa kuna Watu Wawili Watatu hivi Mama ( Rais ) alikuwa anawatafutia 'timing' ya Kuwafyeka ( Kuwatumbua ) na hata 'Kuwasweka' ndani na baada ya Ripoti hii Maalum ya Ukaguzi wa BOT atakuwa ameshatiwa 'Ndimu' ya Kulitimiza hilo kwani hata Yeye walimkwaza japo anawachekea tu 'Kidiplomasia' na Wao wanajua amewasahau au anawaogopa.
Dotto na BashiruMapema kabisa GENTAMYCINE natoa OMBI Kwa 'Mama' tafadhali kama katika hiyo Ripoti Maalum ya Ukaguzi BOT utakayoipokea Keshokutwa ( Jumatano ) itawagusa waliopo Serikalini Kwako au uliowapa Ubunge basi usisite 'Kuwawajibisha' tafadhali kwa faida ya nchi.
Nitashangaa sana kama wanaokupa Ripoti hiyo Maalum ya Ukaguzi BOT watafichaficha Mambo Muhimu wakati ni ukweli ulio wazi tu kuwa kati ya Mwezi January 2021 hadi March 2021 kuna Mambo ya Ajabu ( Ukwapuaji na Matumizi ) mabaya ya Pesa yaliyotokea na baadhi ya 'Wapigaji' tunao japo 'Kinara' wao hayupo kawahi Kutuandalia Makazi mema tuliobaki duniani.
Kuna Watu wangu kama Watatu hivi nawashauri ikiwapendeza kuanzia leo mpaka Kesho wawahi tu 'Kujiuzuru' kwani huenda baada ya Ripoti hiyo Maalum ya Ukaguzi wa BOT atakayopewa Rais ( Mama ) Samia yatawakuta yakuwakuta labda tu wawe na Waganga wao wazuri wa Kienyeji wa Kuwaokoa.
Ninaisubiri kwa hamu Ripoti hii ya BOT.
Naanza Kukubaliana nawe kwa hili sana.Unahitaji PhD kujua kuwa ilicheleweshwa makusudi ili ichakachuliwe ili kuokoa waliopo madarakani sasa hivi?
Huyu ana Mganga mzuri mno wa Congo.Kama ni hivyo HK hawezi kubaki salama
Unaulizia Utapeli Abuja au Lagos Mkuu?Kwa hio mambo yatakua hadharani sio?.!
Nina imani na SSH. Yeye ni kama moto wa gesi. Unawasha kimyakimya lakini very effectively. Sio kama moto wa Mwendazake ambao naweza kuufana isha na moto wa mabua. Unawaka kwa kelele nyingi lakini "efficacy" yake iko chini sana.Hivi ni kweli watu wanaroga ili warudi makazini, kwenye masuala nyeti kama haya ni ngumu sana kurudi wajiandae kuachia ngazi hasahasa msaidizi wa Mama.
Wizi na ubadhilifu wa mali ya umma sio kitu cha kukilea. wahusika kama wapo wawajibishweMapema kabisa GENTAMYCINE natoa OMBI Kwa 'Mama' tafadhali kama katika hiyo Ripoti Maalum ya Ukaguzi BOT utakayoipokea Keshokutwa ( Jumatano ) itawagusa waliopo Serikalini Kwako au uliowapa Ubunge basi usisite 'Kuwawajibisha' tafadhali kwa faida ya nchi.
Nitashangaa sana kama wanaokupa Ripoti hiyo Maalum ya Ukaguzi BOT watafichaficha Mambo Muhimu wakati ni ukweli ulio wazi tu kuwa kati ya Mwezi January 2021 hadi March 2021 kuna Mambo ya Ajabu ( Ukwapuaji na Matumizi ) mabaya ya Pesa yaliyotokea na baadhi ya 'Wapigaji' tunao japo 'Kinara' wao hayupo kawahi Kutuandalia Makazi mema tuliobaki duniani.
Kuna Watu wangu kama Watatu hivi nawashauri ikiwapendeza kuanzia leo mpaka Kesho wawahi tu 'Kujiuzuru' kwani huenda baada ya Ripoti hiyo Maalum ya Ukaguzi wa BOT atakayopewa Rais (Mama) Samia yatawakuta yakuwakuta labda tu wawe na Waganga wao wazuri wa Kienyeji wa Kuwaokoa.
Ninaisubiri kwa hamu Ripoti hii ya BOT.
Hawatausishwa na lolote katika riport hiyo! They are clean.Hakuna hipya. Wanaotajwa wote walipewa vyeo ili kulinda taswira ya marehemu. Doto na Bashiru walitakiwa kuwa jela wakati uchunguzi unaendelea.
Nami hapa nimeanza Kuliona hili Mkuu.Hawatausishwa na lolote katika riport hiyo! They are clean.
Mkuu Gentamycine, umeongelea jambo ambalo ni kuntu mno ambalo halipaswi kupepesewa macho wala kumung'unyiwa maneno. Kongole sana kwako.Mapema kabisa GENTAMYCINE natoa OMBI Kwa 'Mama' tafadhali kama katika hiyo Ripoti Maalum ya Ukaguzi BOT utakayoipokea Keshokutwa ( Jumatano ) itawagusa waliopo Serikalini Kwako au uliowapa Ubunge basi usisite 'Kuwawajibisha' tafadhali kwa faida ya nchi.
Nitashangaa sana kama wanaokupa Ripoti hiyo Maalum ya Ukaguzi BOT watafichaficha Mambo Muhimu wakati ni ukweli ulio wazi tu kuwa kati ya Mwezi January 2021 hadi March 2021 kuna Mambo ya Ajabu ( Ukwapuaji na Matumizi ) mabaya ya Pesa yaliyotokea na baadhi ya 'Wapigaji' tunao japo 'Kinara' wao hayupo kawahi Kutuandalia Makazi mema tuliobaki duniani.
Kuna Watu wangu kama Watatu hivi nawashauri ikiwapendeza kuanzia leo mpaka Kesho wawahi tu 'Kujiuzuru' kwani huenda baada ya Ripoti hiyo Maalum ya Ukaguzi wa BOT atakayopewa Rais (Mama) Samia yatawakuta yakuwakuta labda tu wawe na Waganga wao wazuri wa Kienyeji wa Kuwaokoa.
Ninaisubiri kwa hamu Ripoti hii ya BOT.
" Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer "Mkuu Gentamycine, umeongelea jambo ambalo ni kuntu mno ambalo halipaswi kupepesewa macho wala kumung'unyiwa maneno. Kongole sana kwako.
Mwanasiasa si wa kumuamini kabisa ...Yetu macho na masikio ila usimuamini sana mwanasiasa..
'Kidiplomasia' 😂😂 nimependa msamiati uliotumiaSi kweli nimedokezwa kuwa kuna Watu Wawili Watatu hivi Mama ( Rais ) alikuwa anawatafutia 'timing' ya Kuwafyeka ( Kuwatumbua ) na hata 'Kuwasweka' ndani na baada ya Ripoti hii Maalum ya Ukaguzi wa BOT atakuwa ameshatiwa 'Ndimu' ya Kulitimiza hilo kwani hata Yeye walimkwaza japo anawachekea tu 'Kidiplomasia' na Wao wanajua amewasahau au anawaogopa.
Ije hiyo ripoti tunaisubiri na isifanywe kuwa ni siri.
Tiba