Ni mateso bila chuki

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
853
Reaction score
210
Check out the attached document herein.
 

Attachments

  • INATISHA.jpg
    53.5 KB · Views: 238
duuuh,huyo ayefuatia ana upaja wa ukweli mpaka nimeshtuka!!!
 
Kama Kenya vile.Jamani mbona hivyo..Acheni hizo bwana hao ni binadamu na sio wanyama.
 
Kumbe wanafanya hivi. Wapi hii ilitokea?. Inasikitisha kweli.
 
Hapa ni swaziland- mabinti wanakaguliwa kama wanabikira kabla ya annual reed dance. Hii picha ipo humu kitambo.
 
Someni vizuri vitabu vitakatifu muvielewe na kutafakari, binadamu kila kukicha napotosha mambo ili kumfurahisha shetwani tuuuuuu.
 
mmh inatisha kweli au wanaigiza jamani? kwani hua zinafinyika hadharani hivi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…