Mentor nimekuja kaka mkubwa shemeji yangu wa ukweli kwa mdogo wangu kipenzi Catherine, usipate shida kunimention jina ni rahisi sana hili hata huyu mdogo wangu platozoom anajua na huwa Asprin mumewe cacico ananimention kwa wepesi zaid. hebu waulize wao wanafanyaje?
Mume wangu Kaizer my loving swtlo huwa yeye anajua hata kuliita kimahaba tuwapo faraghani hahahha, unaijua sauti ya kiume ile yenyewe basi Kaizer huwa aikiitumia kuniita jaman napagawaje sasa?????
Eti nini?? Gifson Winnie!??? bado..come again!
Na hiyo cacico mbona mi hutamka 'kakiko'!??
swadaktaaa unasemaje hapo?? huyu anaitwa kasiko bana lolest.
sasa huyo Gifson ndo nani wako???
kasiko??? mbona majina yenu hayana maana!???
Hata mie nahs hvo atakuwa amelambwa la Maisha.
Ila lazima aje na ID ingine,
c unajua tena?
We lianzishe bhana, c unajua tena.
sasa wewe mbona umekuwa kama mwangu wa miaka 6 ambaye akitaka kitu basi anapita njia ndefu sana ili kukufake umpatie? yaaani Mentor ungesema tu naomba kujua maana ya jina lako ama la kasiko. majina yetu yamebeba majina ya created family members wote kuanzia waume hadi watoto including sisi wenyewe.
Eliah G Kamwela...una uhusiano wowote na afande mmoja ivi wa polisi makao makuu!??
sasa huyo Gifson ndo nani wako???
kasiko??? mbona majina yenu hayana maana!???
Kaka upo? jina lako linafanana na sura yako kama ni kweli.. nyumbani wanakusalimia.
Kwa mantiki ipi? Jiwe Linaloishi?!
thanks kamanda tuko pamoja..Kuna haya nimeyakumbuka.
1 MGANGA WA KIENYEJI.
2 Mlyafinono (wahehe na wabena watakua wameelewa).
3 Bujibuji (sijui ndio nini)
4 Maganga Mkweli jamaa ni mkweli for sure.
5 NingaR kwasababu nimejua lilikoanzia.