Wadau karibuni, nipo na mzee hapa ananiambia maiti ni mzigo, anadai mtu anavyosafiri analipa nauli ya kawaida, lakini akishakufa hata thamani ya kusafirisha maiti huongezeka kufkia bei sawa na mzigo, kingine akifa tunabeba sawa na mzigo hlo halina mjadala coz is arleady dead body!