Ni mahafali ya binti yangu

Mmeshaanza mambo yenu na nyie sasa..khaaa
 
Hongera mama mkwe. Posa inaruhusiwa?
 
Umtafute mwenyewe sasa,
PM nikija ni kufuata hela ya soda tu,
Mmmmh mama kama nakuona hiviii, huyu kasema mahari umeitikia chapchap lkn Mimi nimeyekwambia Niko mweuPE, sina pesa wala ajira ila nahtaj mwanao HUJANIJIBU ATA !, LOL kwel mkono mtupu haulambwi na PESA NDO karibu @ KITU.Haya mama.Usjar
 
Mmmmh mama kama nakuona hiviii, huyu kasema mahari umeitikia chapchap lkn Mimi nimeyekwambia Niko mweuPE, sina pesa wala ajira ila nahtaj mwanao HUJANIJIBU ATA !, LOL kwel mkono mtupu haulambwi na PESA NDO karibu @ KITU.Haya mama.Usjar
Jiamini tu mwanangu, mbona uko vizuri tu;
hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Hamna mtu aliyegusia suala la ajira wengi ni pongezi na marriage tuu. Kweli vyuma....
 
Kweli ajira kwake muhimu sana,
baada ya mahafali nitarudi na uzi wa kuomba mwenye
kuweza kumsaidia ili apate ajira,
amesoma Logistic and transport management.
Najuwa JF ni kisima binti yangu atapata kazi tu.

Hamna mtu aliyegusia suala la ajira wengi ni pongezi na marriage tuu. Kweli vyuma....
 
Hongera mamndenyi kwa ujasiri wa kupambana
Ila haina haja ya kujuta yaliyotokea huko awali maisha yanasonga mbele daima
Mpe hongera mjomba kwa kupata elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…