Khaa!! Akili zenu fupi mnadhani rais anapatikana kwa honi au vurugu za bodaboda au kelele za walevi bila kujua kuna kundi kubwa lililo kimya lenye kutafakari lisilopenda kupelekwapeleka kama nyumbuccm mnajidanganya sana makofuli hakubaliki kabisa .kila mahali ni lowasa lowasa lowasa .mamantilie lowasa,wanafunzi wa vyuo lowasa,walimu lowasa,bodaboda lowasa, ccm haikubaliki kabisaaaaaa
ccm mnajidanganya sana makofuli hakubaliki kabisa .kila mahali ni lowasa lowasa lowasa .mamantilie lowasa,wanafunzi wa vyuo lowasa,walimu lowasa,bodaboda lowasa, ccm haikubaliki kabisaaaaaa
Mbona tuna sahau kuwa chama kilicho madarakani ndio inabeba dhamana kubwa ya kupiga vita ufisadi.Kwa kuifanya chadema ndio mpinga ufisadi hivi hii ina maanisha tunaunga mkono ufisadi? .Ndani ya ccm ndio kuna viongozi wengi wanaofisadi nchi.issue ya ufisadi inapaswa kupigwa vita na kila mtu mzalendo wa nchi hii kwa maslahi mapana ya nchi.