Dr Shein amemteua maalim Seif kuwa makamu wa kwanza wa rais na balozi Seif Idd kuwa makamu wa pili wa rais... government of national unity in the making
Na yule mgombea mwenza wa Lipumba kaula uwakilishi, sasa sijui na JK atamuona Profesa wetu Lipumba kwenye list yake wa wabunge 10? vinginevyo Lipumba itabidi urudi CHUO ukawape watu darasa tu