Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Dr Shein amemteua maalim Seif kuwa makamu wa kwanza wa rais na balozi Seif Idd kuwa makamu wa pili wa rais... government of national unity in the making
Alikuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa serikali ya JK iliyopita. jana Shein kamteua kuwa mjumbe wa baraza la wawakilishiInatia moyo kwamba Seif wawili watakuwa kwenye nafasi moja ya umakamo wa raisi.
Huyu Seif Iddi ni nani?.