Niliendaga muhimbili doctor,, akanimbia hio huduma hapa amna labda nje ya nchi na gharama n $40,000/= na mwaka huu tu mwanzoni.
Watching this thread.Mliofika muhimbili kwa ajili ya huduma ya IVF,,,tunaomba mtupe mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hospotali ya kairuki mikocheni wanafanya hiyo kitu kipindi kirefu tu
Unamsema doktor kilonzo ?Kuna mtu yupo Mwanza tu hapo anatibu uzazi na shida zake zote.gharama ni laki mbili 2 na unalipa kwa awamu mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waganga lazima waje. Daktari feki "Dr" Mwaka alipata utajiri kwa Matangazo feki kama haya.Kuna mtu yupo Mwanza tu hapo anatibu uzazi na shida zake zote.gharama ni laki mbili 2 na unalipa kwa awamu mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mliofika muhimbili kwa ajili ya huduma ya IVF,,,tunaomba mtupe mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app