Ni maajabu Muhimbili wanaanza IVF na Surrogacy 2020

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
9,992
Hivi kweli kwa muda huo wote Muhimbili walikuwa hawafanyi IVF na Surrogacy, kitu ambacho kimeshaanza tokea 80's huko?

Kwenye management ya hizi hospital zetu kuwe na vijana, kuna uwezekano hatufanyi medical procedure nyingi sababu kuna watu ambao ni ngumu kupokea mabadiliko, hasa hawa wazee.
 
Wanalogana ile mbaya mule muhimbili paskie tu maana hakuna hospitali watu wanapiga hela kama ile,Hayo mambo ya sarogeti yapo kenya kitambo sana halafu kenya ni hapo tu ndio ushangae halafu sisi ndio tuna maprofesor MD wengi na wakubwa kuliko kenya lakini wame tupiga bao kwenye mambo ya afya.
 
Wanalogana ile mbaya mule muhimbili paskie tu maana hakuna hospitali watu wanapiga hela kama ile,Hayo mambo ya sarogeti yapo kenya kitambo sana halafu kenya ni hapo tu ndio ushangae halafu sisi ndio tuna maprofesor MD wengi na wakubwa kuliko kenya lakini wame tupiga bao kwenye mambo ya afya.
Kwenye mambo ya Technology tuna safari ndefu sana
 
Hivi kweli kwa muda huo wote Muhimbili walikuwa hawafanyi IVF na Surrogacy, kitu ambacho kimeshaanza tokea 80's huko?

Kwenye management ya hizi hospital zetu kuwe na vijana, kuna uwezekano hatufanyi medical procedure nyingi sababu kuna watu ambao ni ngumu kupokea mabadiliko, hasa hawa wazee.
Umeangalia ukaona kilichokuwa kinakwamisha ni umri na sio vifaa, vipaumbele? Kuna matibabu ambayo kila siku yanatuua mfano ya moyo, na hakukuwa na vifaa vya kujitibia sembuse mambo kama haya ambayo tunayaona ya nadra?
 
Hivi kweli kwa muda huo wote Muhimbili walikuwa hawafanyi IVF na Surrogacy, kitu ambacho kimeshaanza tokea 80's huko?

Kwenye management ya hizi hospital zetu kuwe na vijana, kuna uwezekano hatufanyi medical procedure nyingi sababu kuna watu ambao ni ngumu kupokea mabadiliko, hasa hawa wazee.
Tanzania sisi tuna propaganda na siasa nyingi sana kuna huduma nyingi sana ambazo zilitakiwa zianze kutolewa nchini kwenye hospitality za serikali ila siasa za kutosikiliza wenye ujuzi ndyo imetufikisha apa mwenye ujuzi mawazo yake yanakataliwa na mwanasiasa mwenye elimu ya form four
 
Umeangalia ukaona kilichokuwa kinakwamisha ni umri na sio vifaa, vipaumbele? Kuna matibabu ambayo kila siku yanatuua mfano ya moyo, na hakukuwa na vifaa vya kujitibia sembuse mambo kama haya ambayo tunayaona ya nadra?
Kuna hospitali ndogo binafsi wanafanya IVF point ya vifaa sio relevent, Muhimbili hawakua na utayari na sio vifaa
 
Hivi kweli kwa muda huo wote Muhimbili walikuwa hawafanyi IVF na Surrogacy, kitu ambacho kimeshaanza tokea 80's huko?

Kwenye management ya hizi hospital zetu kuwe na vijana, kuna uwezekano hatufanyi medical procedure nyingi sababu kuna watu ambao ni ngumu kupokea mabadiliko, hasa hawa wazee.
Ndo hvo yaan hata mm nilishangaa sana kumbe MNH walikua hawafanyi IVF, mambo mengine uchz tu
 
Wanalogana ile mbaya mule muhimbili paskie tu maana hakuna hospitali watu wanapiga hela kama ile,Hayo mambo ya sarogeti yapo kenya kitambo sana halafu kenya ni hapo tu ndio ushangae halafu sisi ndio tuna maprofesor MD wengi na wakubwa kuliko kenya lakini wame tupiga bao kwenye mambo ya afya.
Maprofesa wetu wanatumia sayansi ya asili na wanarogana!!!? Nimecheka sana aisee. Amakweli Waafrika itatuchukua muda sana kuendelea
 
Niliendaga muhimbili doctor,, akanimbia hio huduma hapa amna labda nje ya nchi na gharama n $40,000/= na mwaka huu tu mwanzoni.
 
Niliendaga muhimbili doctor,, akanimbia hio huduma hapa amna labda nje ya nchi na gharama n $40,000/= na mwaka huu tu mwanzoni.
 
Niliendaga muhimbili doctor,, akanimbia hio huduma hapa amna labda nje ya nchi na gharama n $40,000/= na mwaka huu tu mwanzoni.
 
Hii aibu kubwa sana yan wenzetu tangu 1980's,,yan sisi 2020 ndo tunaanza kupiga hesabu ya kuanza hio huduma.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom