Ni lini Watanganyika tutakuwa serious na kuungana?

Ni lini Watanganyika tutakuwa serious na kuungana?

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Hivi mnajua Zanzibar afya ni bure? Lakini bara mtu akifa muhimbili maiti yake Kama inadaiwa inakamatwa?

Hivi mnajua Zanzibar chuo kikuu hakuna watu wanakosa mkopo?

Hivi mnajua Mzanzibar anaweza kuja Tanganyika mpaka kigoma kule akapata ardhi na kujenga na kununua mashamba ya kilimo? Lakini mtanganyika hawezi kumiliki hata square mita moja Zanzibar?

Hivi unajua sasahivi wazanzibar wanaajiriwa bila masharti yeyote uku bara mpaka kwenye maswala ambayo sio ya kimuungano Kama manesi, Walimu, madakitari na watumishi wa halimashauri??

Hivi mnajuwa Zanzibar inakopa lakini Tanzania ikikopa pesa zinagawanywa zinaenda Zanzibar?

Hivi mnajuwa mtanganyika hawezi kufanya kazi serikali ya Zanzibar?

Wakati Mzanzibar anafanya kazi mpaka JKU, KMKM, Police TANZANIA, JWTZ, Uhamiaji, Zomamoto, Tiss uko ndio sasahivi wamefanya Shamba la Bibi?

Hivi mnajuwa Watanzania wakienda Zanzibar wanakuwa wapagazi, Manamba na watumikishwa Kama warundi ambavyo uwa wanakuja kutumikishwa TANZANIA?

Watanganyika ni lini tutaamka na kufanya reform za kueleweka na kuwa na muungano wa nchi tatu?

Ni lini tutazuia kutawaliwa na mtu kutoka nchi nyingine ambayo sisi hatuwezi kuitawala?

Ni lini watanganyika tutadai haki ya kuwa Marais wa Zanzibar?

Watanganyika acheni ujinga amkeni mnazamishwa miaka ijayo tutakuwa vijakazi vya wazanzibar uku Tanganyika.
 
Kinachouma zaidi Rais ajaye wa Tanganyika huru yuko gerezani kwa kesi ya mchongo! Na aliyemfanyia zengwe la kumuweka ndani kama sehemu ya kumkomesha na kumnyamazisha kwa lazima, ni Mzanzibari! Na baadhi ya Watanganyika wajinga wanashirikiana na huyo Mzanzibari wao kumkandamiza Mtanganyika mwenzao.
What a shame!!
 
Its time to take our Tanganyika back! Muungano wa kisege sana huu. Na wazenji wabaguzi mno!
 
Siku tukiondoka kwenye mtego huu tutazalisha ajira zisizopungua laki 1 zinazoshikiliwa na wazanzibari
 
Swali : Ni hata lini?

Jibu: Ni mwaka huu 2025, maana mwaka huu, nchi yetu Tanzania ndiyo itapata uhuru rasmi kwa kufikisha miaka 64.(2025-1961=64).
 
Kwanza wazanzibari wanajitambu na wao wamekuwa wanaipinga sisiemu Mara kibao na kuingia front.
 
Mimi sijui mambo yenu ya siasa ila wakuu mnataka kusema hatimae ni zamu yetu huku bara kukoloniwa? kwamba watu milioni 60 kasoro na ardhi skwea kilometa laki 9 naa tumeanza kulalamikia kuzidiwa nguvu na watu milioni 1 na kidogo, na ardhi yao ukiwasha gari kilometa 85 kwa kunyooka umefika kwenye maji.

Basi kama ni kweli maisha yanabadilika sana.
 
Akija mtanganganyika ,wanasiasa wanaanza kumuita Dikteta ..Kiufupi ,siasa zinaharibu watu.
 
Hivi mnajua Zanzibar afya ni bure? Lakini bara mtu akifa muhimbili maiti yake Kama inadaiwa inakamatwa?

Hivi mnajua Zanzibar chuo kikuu hakuna watu wanakosa mkopo?

Hivi mnajua Mzanzibar anaweza kuja Tanganyika mpaka kigoma kule akapata ardhi na kujenga na kununua mashamba ya kilimo? Lakini mtanganyika hawezi kumiliki hata square mita moja Zanzibar?

Hivi unajua sasahivi wazanzibar wanaajiriwa bila masharti yeyote uku bara mpaka kwenye maswala ambayo sio ya kimuungano Kama manesi, Walimu, madakitari na watumishi wa halimashauri??

Hivi mnajuwa Zanzibar inakopa lakini Tanzania ikikopa pesa zinagawanywa zinaenda Zanzibar?

Hivi mnajuwa mtanganyika hawezi kufanya kazi serikali ya Zanzibar?

Wakati Mzanzibar anafanya kazi mpaka JKU, KMKM, Police TANZANIA, JWTZ, Uhamiaji, Zomamoto, Tiss uko ndio sasahivi wamefanya Shamba la Bibi?

Hivi mnajuwa Watanzania wakienda Zanzibar wanakuwa wapagazi, Manamba na watumikishwa Kama warundi ambavyo uwa wanakuja kutumikishwa TANZANIA?

Watanganyika ni lini tutaamka na kufanya reform za kueleweka na kuwa na muungano wa nchi tatu?

Ni lini tutazuia kutawaliwa na mtu kutoka nchi nyingine ambayo sisi hatuwezi kuitawala?

Ni lini watanganyika tutadai haki ya kuwa Marais wa Zanzibar?

Watanganyika acheni ujinga amkeni mnazamishwa miaka ijayo tutakuwa vijakazi vya wazanzibar uku Tanganyika.
Waulize wenye dola yao!the state!wanafanya kazi Gani Hadi mambo yanaharibika kiasi hicho!!

Waacheni watanganyika wameshiba shida zao,wanalipa Kodi Kwa kazi kubwa Dana wanayoifanya,wanatimiza wajibu wao kama wachangiaji wakuu wa uchumi wa taifa hili!
Virungu walivyopigwa na polisi plus ndugu zao waliopotea kwenye harakati za kudai haki zinawatosha!!

Waambie idara kwamba malipo ya mishahara wanayokula vinaendana na ustawi was watu katika taifa hili!!?
 
Kwakweli kazi tunayo yaani wazenji wanaingia hadi bungeni wakati kwenye bunge la zanzibar hakuna mtanganyika hata mmoja
 
Hivi mnajua Zanzibar afya ni bure? Lakini bara mtu akifa muhimbili maiti yake Kama inadaiwa inakamatwa?

Hivi mnajua Zanzibar chuo kikuu hakuna watu wanakosa mkopo?

Hivi mnajua Mzanzibar anaweza kuja Tanganyika mpaka kigoma kule akapata ardhi na kujenga na kununua mashamba ya kilimo? Lakini mtanganyika hawezi kumiliki hata square mita moja Zanzibar?

Hivi unajua sasahivi wazanzibar wanaajiriwa bila masharti yeyote uku bara mpaka kwenye maswala ambayo sio ya kimuungano Kama manesi, Walimu, madakitari na watumishi wa halimashauri??

Hivi mnajuwa Zanzibar inakopa lakini Tanzania ikikopa pesa zinagawanywa zinaenda Zanzibar?

Hivi mnajuwa mtanganyika hawezi kufanya kazi serikali ya Zanzibar?

Wakati Mzanzibar anafanya kazi mpaka JKU, KMKM, Police TANZANIA, JWTZ, Uhamiaji, Zomamoto, Tiss uko ndio sasahivi wamefanya Shamba la Bibi?

Hivi mnajuwa Watanzania wakienda Zanzibar wanakuwa wapagazi, Manamba na watumikishwa Kama warundi ambavyo uwa wanakuja kutumikishwa TANZANIA?

Watanganyika ni lini tutaamka na kufanya reform za kueleweka na kuwa na muungano wa nchi tatu?

Ni lini tutazuia kutawaliwa na mtu kutoka nchi nyingine ambayo sisi hatuwezi kuitawala?

Ni lini watanganyika tutadai haki ya kuwa Marais wa Zanzibar?

Watanganyika acheni ujinga amkeni mnazamishwa miaka ijayo tutakuwa vijakazi vya wazanzibar uku Tanganyika.
Umesahau kama mama mmoja wa kizanzibar kwa kusaidiwa na Jk anataka aitawale Tanzania kwa miaka 15 kama vile huku hakuna wanaume,Nasema kwamba sisi watanganyika sijui nani aliyeturoga ni wajinga mpaka basi
 
Back
Top Bottom