Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 10,065
- 14,702
Secretariate haipokei barua ya utambulisho kutoka polisi inayohusu kupoteza, kuungua, kuibiwa, utofauti wa majina kati ya cheti kimoja na kingine kutokana na baadhi yao kuzitumia vibaya.
Toa taarifa Polisi then nenda Chuoni watakupa utaratibu ikiwemo kutangaza kwenye Gazeti
Cha Muhimu toa taarifa kwa kwenda in-Person (mguu kwa mguu) Secretariate ya Ajira. Nje ya hapo there is no way ya kufanya interview utabaki home kupiga show ya kibabe
Toa taarifa Polisi then nenda Chuoni watakupa utaratibu ikiwemo kutangaza kwenye Gazeti
Cha Muhimu toa taarifa kwa kwenda in-Person (mguu kwa mguu) Secretariate ya Ajira. Nje ya hapo there is no way ya kufanya interview utabaki home kupiga show ya kibabe