Farida Dominick
New Member
- Feb 12, 2019
- 1
- 1
Hellow wapendwa napenda niwasalimu me ni Mpya
Nimekufata pm nikupe utaratbuHellow wapendwa napenda niwasalimu me ni Mpya
Jiandae kisaikolojiaDah wakuu haka kausaili ndo hakapo nini vidole vinataka kuota sugu tunachungulia web ya utumishi kila dk
Dah na ww unatumia hicho kibomba
Hatari ya danger kwa sababu kila mtu ana fiti TRA kasoro ma engineer na afya ndo maana wengiHivi kwa Nini kazi za TRA watu huwa wanatuma maombi wengi Sana, ngoja uone hizi majina yakitoka shortlist itakuwa na watu elfu60+,
Mbna zikitangazwa kwingine kwa nafasi hizohizo hakui na nyomi ya TRA, halafu mishahra Yao ya kawaida tu tatzo rushwa, wizi na ufisadi ndo unaowavuta watu huku Kuna pesa nyingi za pembeni hukuHatari ya danger kwa sababu kila mtu ana fiti TRA kasoro ma engineer na afya ndo maana wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hellow wapendwa napenda niwasalimu me ni Mpya
Katakuja tuDah wakuu haka kausaili ndo hakapo nini vidole vinataka kuota sugu tunachungulia web ya utumishi kila dk
mkuu hadi tumekata tamaa sijui wataita liniKatakuja tu
Wapo katika mchakato wa kupangia vituo vya usaili hivyo hivi karibuni mtaitwa, jiandae tu Mkuu.mkuu hadi tumekata tamaa sijui wataita lini
Mkuu, kwa mtu aliyepoteza cheti cha chuo anaweza kufanya interview kama atakua na loss report ya police?Wapo katika mchakato wa kupangia vituo vya usaili hivyo hivi karibuni mtaitwa, jiandae tu Mkuu.
Copy ya Cheti si ipo? Na Recomendation ya Chuo?Mkuu, kwa mtu aliyepoteza cheti cha chuo anaweza kufanya interview kama atakua na loss report ya police?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejiunga leo Jamii forums hata salamu hujatoa umefikia kutuuliza maswali
Jumamosi ya kesho, usisahau vyeti vyako original. Hapa chuo cha mwalim nyerere
Copy ipo mkuu, certified.. Recommendation ya chuo sina mkuuCopy ya Cheti si ipo? Na Recomendation ya Chuo?
I mean vyeti huwa havitolewi mara mbili hata kama umepoteza kuna Copy unapewa na Chuo ambayo huwa marked copy copy copy everywhere hua inafanana sana na Cheti chako kilichopotea na hueshimika achana na hiyo photo copy
Duh... Mbona mtihani sasaI mean vyeti huwa havitolewi mara mbili hata kama umepoteza kuna Copy unapewa na Chuo ambayo huwa marked copy copy copy everywhere hua inafanana sana na Cheti chako kilichopotea na hueshimika achana na hiyo photo copy